Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Thinking capacity ya mwanamke , reasoning , ni poor ndio maana wanadanganyika kirahisi sana na manabii uchwara , hawafikirii dogmatism is applied at the maximum .
Ulichovuta leo ni lethal. Piga Coke baridiiSamsoni hakunyoa nywele kwa shinikizo la mwanamke
Alinyoa nywele kulinda bajeti ya sabuni
Sasa ndo mpishane kwa waganga kupata tiba? Hamjui hao waganga ni wanaume matapeli pia?Kwa asili wanawake wanaamini kwa kusikia, wakiambiwa maneno ya kuwapa furaha na upendo wanafurahia zaidi. Na viongozi wa dini wamejua kulengea hapo
Wanawake wengi kwenye jamii ni wahanga wa unyanyaswaji na mateso mbalimali na wanaona sehemu pekee ya kupata faraja ni kanisani
Wanawake sio watu wa kuachilia mambo kirahisi Wanawake wanabeba hisia zinazowafanya wafanye Yale yanayotokea kwenye hizo nyumba za ibada
Wanawake kukosa miongozo sahihi ya kiimani toka kwa wanaume ambao ndio viongozi kiimani
Cc Ushimen
Brilliant observationSio kwamba mwanamke ni tegemez na si problem solver..yaan hawez solve kitu had kwa msada wa mwingne..tena mwanaume...maana huko makanisan viongoz ni wanaaume..waganga wa kienyej ni wanaume etc...nahis kuna utofaut wa asil kat ya jinsia hz mbili ni kwamba tu wanawake wa skuhiz ku admit ni ngum..
Kiufup mwanamke hafikirii mara mbili..yeye anachokiona mbele ni hiko hiko..ndomana wana maamuz meng sana wanawake. Wao ndo machangudoa.wao ndo wanaojichubua wao ndo wenye nywele fake wao ndo wenye kucha fake wao ndo wapaka makeup yaan lolote liliombele yao wanarukia bila kuwaza mara mbili.
Mwanaume lazima awaze mara mbili ndomana amekua soo natural katka maamuz yake maishan
Kwahyo wew matatzo kwenye ulimwngu huu umeona kujiua tu...duh..kazi ipo
Yaan hujawaza problem solving kama
1.Kuendesha nchi na maamuz
2.afya
3.innovations
4.power n energy
5.leadershp
6.finance
7.independence
Yote hayo tokea dunia hii imeumbwa anayasolve mwanaume kwa asilimia zaid ya 90
Tunaona hata kwenye Movie za huko huko Ulaya, wanawake wapo stumped kama kiumbe dhaifu sana,Unauliza maswali mepesi sana.
Wanapigwa hawa wa dunia ya tatu huku elimu hawana na fedha hawana!
Kwanini wasipigwe?
Nenda kawapige wanawake wa Denmark huko kama utaweza.
Uhalisia haupo wanapigwa wanawake wanaotoka mataifa masikini tu.
Mkuu inaonyesha una kaubishi fulani hiviMwanamke aliyegundua GPS una mfahamu? Na uanaume wako una kipi cha kumzidi?
Am a man, lakini ujinga wa wengi wa wanawake waishio Afrika usiwe ujinga wa wanawake wote!
Hao wa dunia ya kwanza na wenyewe wanapigwa kwa style zao, by the way mwanamke ni kiumbe dhaifu na chenye huruma sana sana, so ni rahisi kurubuniwa na kutekwaHuwez elewa logic za kikubwa hiz mkuu..unless una akil sana...sampling zako za kufananisha wanawake wa dunia ya kwanza na dunia ya tatu hazina akil..hao wa dunia ya kwanza wana flaws zao...na inabak vile vile hata huko 90% ya waudhuriaj ni wanawake pia.
Manabii wanawake kwenye biblia walikuwepo.Kwa ujumla Wanawake ni viumbe dhaifu sana. Ndiyo maana hukuti katika Historia nabii wala mtume Mwanamke (Hapa kuna hekima kubwa sana, achana na hawa manabii wa uongo na sanaa zao).
Umenifunza kitu leo. Kumbe mwanamke bila kuchungwa hajalamilikaKwa asili wanawake wanaamini kwa kusikia, wakiambiwa maneno ya kuwapa furaha na upendo wanafurahia zaidi. Na viongozi wa dini wamejua kulengea hapo
Wanawake wengi kwenye jamii ni wahanga wa unyanyaswaji na mateso mbalimali na wanaona sehemu pekee ya kupata faraja ni kanisani
Wanawake sio watu wa kuachilia mambo kirahisi Wanawake wanabeba hisia zinazowafanya wafanye Yale yanayotokea kwenye hizo nyumba za ibada
Wanawake kukosa miongozo sahihi ya kiimani toka kwa wanaume ambao ndio viongozi kiimani
Cc Ushimen
Umesahau na misambwanda fekisSio kwamba mwanamke ni tegemez na si problem solver..yaan hawez solve kitu had kwa msada wa mwingne..tena mwanaume...maana huko makanisan viongoz ni wanaaume..waganga wa kienyej ni wanaume etc...nahis kuna utofaut wa asil kat ya jinsia hz mbili ni kwamba tu wanawake wa skuhiz ku admit ni ngum..
Kiufup mwanamke hafikirii mara mbili..yeye anachokiona mbele ni hiko hiko..ndomana wana maamuz meng sana wanawake. Wao ndo machangudoa.wao ndo wanaojichubua wao ndo wenye nywele fake wao ndo wenye kucha fake wao ndo wapaka makeup yaan lolote liliombele yao wanarukia bila kuwaza mara mbili.
Mwanaume lazima awaze mara mbili ndomana amekua soo natural katka maamuz yake maishan
Pole sana.Tunaona hata kwenye Movie za huko huko Ulaya, wanawake wapo stumped kama kiumbe dhaifu sana,
Hili huna hoja ya kielimu. Ukisema wapo manabii wa kike, kuna maswali nitakuuliza na unipe ushahidi.Nawajua wanawake nane ndani ya Biblia ambao ni manabii.
Kwa uchache zurri kuna Huldah na Anna vipi una chakupinga?
No research no right to speak!
Mimi ni Muha!Mkuu inaonyesha una kaubishi fulani hivi
Niwekee ushahidi.Manabii wanawake kwenye biblia walikuwepo.
Nimecheka sana.Unauliza maswali mepesi sana.
Wanapigwa hawa wa dunia ya tatu huku elimu hawana na fedha hawana!
Kwanini wasipigwe?
Nenda kawapige wanawake wa Denmark huko kama utaweza.
Uhalisia haupo wanapigwa wanawake wanaotoka mataifa masikini tu.
Zurri umeingia choo cha kike!Hili huna hoja ya kielimu. Ukisema wapo manabii wa kike, kuna maswali nitakuuliza na unipe ushahidi.
1. Unabii huo wamepewa na nani ? (Ushahidi fuwekee)
2. Kipi kimekujulisha ya kuwa hao ni manabii ?
3. Usahihi wa hayo marejeo yanayo elezea manabii wakike ni upi ?
Ninachokitaka ujue namaanisha. Sababu huwa hamuhakiki hizi habari, ngoja nikuonyeshe wapi una kwama.Zurri umeingia choo cha kike!
2 Wafalme 22:14-15
Kwa hiyo Kuhani Hilkia, Ahikamu Akbori, Shafani na Asaya, wote walikwenda kwa mama mmoja nabii jina lake Huldah aliyekuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikva, mwana wa Harhasi, mtunza mavazi ya Hekalu. Wakati huo Huldah alikuwa anaishi katika mtaa wa pili wa Yerusalemu nao wakazungumza naye. 15 Basi akawaambia "Hivi ndivyo anavyosema mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli " Mwambie huyo aliyewatuma kwangu"
Huu ni ushahidi wa unabii wa Huldah.