Hivi kwani Rais haruhusiwi kuwa na mawazo yake au kuamua anavyoona sawa?

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,671
40,918
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Ina maana Rais hana haki ya kuwa na mawazo yake binafsi?

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!
 
Huu unaitwa" umbayuwayu", yaani za washauri wako ongeza na zako.
 
Kwani umesikia nani anamuingilia kwenye hayo mawazo na maamuzi yake binafsi??

Kwa Nchi inavyokwenda mrama hivi sasa inakupa picha kwamba anashauriwa vibaya na washauri wake??

Nonsense kabisa..

Kila kitu anafanya mwenyewe kwaiyo don't come here with this very cheap argument kwamba mambo yanavyokwenda ovyo basi washauri wanahusika ivyo basi ni vyema sasa akaachiwa kufanya mwenyewe.

Mfano mmoja mdogo tu.. Jinsi alivyovurunda kwenye hizi teuzi za wabunge 10 wanaoteuliwa na Rais mpaka watu wamepiga kelele hapa JF, angekuwa mtu wa kushauriwa hii aibu wala isingemkuta.

Baki na stroke yako.
 
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Inamaana Rais hana haki ya kua na mawazo yake binafsi??

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!

Ushauri maanake sio lazima ufuatwe ila ni muhimu kwa sababu yeye sio mtaalamu wa kila kitu.
 
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Inamaana Rais hana haki ya kua na mawazo yake binafsi??

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!
Ndiyo anatumia mawazo yake haya.
Viwanda 52,000
Uchumi unakua kwa kasi ya ajabu.
Chato inajengwa kila kitu au hujaona traffic light kwa magari 80?

Hujaona teuzi kila kukicha au ni wewe ulimshauri?
Hebu acha ujinga.
 
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Inamaana Rais hana haki ya kua na mawazo yake binafsi??

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!
Mawazo yake binafsi ndio hayo ya kuteua wabunge 6 wa kiume.

Kweli kwa style hii tanzania ya vi-wonder labda tuione kwenye fiction movie za holywood
 
Hii nchi vihiyo ni wengi sana. Nchi ina watu million 45 na unataka iongozwe na matashi ya mtu mmoja. We vipi? Tumia basi hata chembe ya ubongo wa kuku. Hata familia ya watu wawili ushauri muhimu wewe kihiyo.
 
Awe kama yule WA North Korea aliyewaambia wananchi hakuna kusherekea x mass badala yake washerehekee siku ya kuzaliwa ya bibi yake mchewwwwwwwaaww
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anaruhusiwa kutumia mawazo yake binafsi kuanzia A to Z badala ya mtu mwingine yeyote yule! Kwa miaka yote 5 anaweza asitumie ushauri wa yeyote yule! Jambo ambalo atake asitake ni LAZIMA afuate vile kinavyosema ni suala la kikatiba na kisheria!!
 
Baadhi ya watu wamegeuka kuwa watu wa chuki, kejeli na ufuasi usio na tija. Hivi kweli maamuzi binafsi yanaweza kosa chembechembe yoyote ya kosa? Pia washauri ni wanadamu na wanaweza kosea mda na wakati wowote.
Hapa ni swala la kuwa na imani na kiongozi au kukosa imani. Ushauri wa wataalamu kwa miaka nenda rudi umekuwa chanzo cha umaskini, maendeleo,tamaa na vurugu sehemu yoyote ile duniani hivyo basi "endeleeni kumuombea", ipo siku mambo yatakaa sawa.
 
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Inamaana Rais hana haki ya kua na mawazo yake binafsi??

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!
Rais anao huo uhuru tena sana tu, na ndio maana washauri wanaitwa washauri maamuzi ya mwisho ni yake rais so longer as yapo kikatiba. Umuhimu wa washauri kwa rais ni kwamba rais hawezi kujua au kukumbuka kila kitu kwa hiyo anahitaji washauri katika mambo mbalimbali kama ya kisheria, kiuchumi kisiasa etc ili aweze kufanya kazi kwa ufasaha zaidi
 
ana akili timamu? huyo rais wa TFF?

Mkuu,

Kuna kanuni ya kisheria inayofahamika kama "presumption of sanity" ambayo ndiyo hutumika katika kuangalia utimamu wa akili ya mhusika, kanuni yenyewe inasema hivi;

" A person is presumed to have testamentary capacity until there is evidence to undermine that presumption" ikiwa na maana kwamba,

Mtu yeyote atafahamika ni timamu mpaka kuwe na ushahidi unaopingana na utimamu wake.

Kanuni hiyo ipo applicable pia kwa Rais wa TFF.

Ila ili sasa tufikie na suluhisho la utimamu wa huyu mwingine, katiba kupitia Ibara ya 37, imeweka utaratibu wa namna ambayo tunaweza kufikia hitimisho hilo, utaratibu wenyewe ni kama ufuatavyo;

37.-(1) Apart from complying with the Provisions contained this Constitution, and the laws of the United Republic in the performance of his duties Discharge of duties and in functions ,the President shall be free and shall not be Obliged to take the advice given to him by any Person save where he is required by this Constitution or any other law to act in accordance with the advice given to him by Act No. 15 of 1984 s.8 Act No.4 any person or authority. of 1992

(2) Where the Cabinet finds that the President is unable to discharge the functions of his office by reason Of Physical Or mental infirmity, it may submit to the Chief Justice a resolution requesting him to certify that the President by reason of physical or mental infirmity, is unable to discharge the functions of his office. Upon receiving such a resolution, the Chief Justice shall appoint a medical board of not less than three persons from amongst experts recognized as such by the law governing medical Practitioners in Tanzania and such board shall inquire into that issue and advise the Chief Justice accordingly, and he s.12 Act No.34 of 1994 s.6 may, after considering the medical evidence, present to the Speaker a certificate certifying that the President, due to physical of mental infirmity, is unable to discharge the functions of his office; and if the Chief Justice does not rescind that certificate within seven days for the reason that the President's condition has improved and he has resumed work, then it shall be deemed that the office of the President is vacant, and the provisions contained in subarticle (3) shall apply.

Kutokana na Ibara hiyo ya 37, ni jaji mkuu pekee ndiye mwenye jukumu la kuthibitisha utimamu wake baada ya kupokea ushauri kutoka kwa kamati maalum ya kitabibu aliyoiunda yeye ili kuthibitisha madai hayo kama yapo.
 
No wonder tuna viwanda 56000 vya kufyatua tofali. no wonder kuna biashara zaidi ya 2000 zimefungwa August to December 2016 as per Mpango.
 
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Inamaana Rais hana haki ya kua na mawazo yake binafsi??

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!

As Long as havunji Katiba. Hata mimi Leo naweza nikaanza Dini ya Kuabudu Mawe, Lakini Je naweza Kuanzisha Dini ya Kula Nyama za Watu?
 
images-1069.jpeg
 
Nakosa hata maneno ya kueleza huu mshangao!

Inamaana Rais hana haki ya kua na mawazo yake binafsi??

Kwamba kila Mara tu asikilize ushauri wa washauri!

Kwamba hata kama anaona washauri wamekosea kushauri basi awasikilize tuu ili awe anasikiliza ushauri!

Nakumbuka siku moja nilikutana na mzee mmoja ambaye alinipa somo moja kubwa sana katika maisha, alinimbia " in every situation use your best judgment son"

Sasa sioni ni kwa namna gani tunamwacha Rais akatumia his best judgment na sisi tukapunguza vilio na kuona matokeo ya maamuzi hayo!

Sio lazima yawe with immediate effect ila tutoe nafasi kwa matokeo yake!


NCHI IKISHAITWA NCHI KIONGOZI ANAWEZA KUTOA MUELEKEO TU LAKINI MAMBO MENGI WANAFANYA WASHAURI ..KWA KUFUATA MUELEKEO WA KIONGOZI .....INA MAANA KAMA KIONGOZI ANA MSIMAMO MKALI JUU YA MASUALA FULANI WATAMSHAURI KWA MUELEKEO HUO BILA KULETA MADHARA KWA TAIFA ...THE SAME KWA RAIS MWENYE MSIMAMO WA KULIA ,KUSHOTO AU KATI....

URAIS AU UFALME NI TAASISI KUBWA SANA ...KUWEZA KUMUDU KUTEGEMEA AU KUKUBALI KICHWA CHA MTU MMOJA NDIO KIAMUA MUSTAKABALA WA UENDESHAJI WA SIKU HADI SIKU ....NA KATIKA TARATIBU ZA UENDESHAJI WA NCHI MAAFISA WA USALAMA WAMEFUNZWA NAMNA YA KUKABILIANA NA VIONGOZI KADIRI WALIVYO ...AWE MPOLE,MKALI,MWENYE HASIRA ,MZITO WA MAAMUZI nakadhalika .....na pia wana namna ya kukabiliana na kiongozi ambaye HAAMBILIKI

Ndio maana unakuta mfano marekani rais anakutwa na kashfa ambayo wazi unagundua nyaraka wanaoweza kuzipata ni maafisa wake ....na kupelekea hata kupigiwa kura ya kutokua na imani .....ndio maana nchi nyingine kiongozi anaomba kustaafu kumbe behind the scene amelazimishwa ...mfano Papa Benedict alistaafu kwa ugonjwa ...na ni "mfungwa" ndani ya vatican .

Nchi yeyote ile DOLA ina maana ni vile vyombo vyake na vile havitakiwi kuwa kwenye siasa kwa sababu ndio vinailinda dola dhidi ya adui yeyote ...wa ndani au nje .....hata kama kiongozi yeyote akiwamo mkuu akionekana kuwa tishio kwa uhai wa dola wanapambana naye ....KUNA SIRI KUBWA SANA HAPO ....!!!! Na ndio maana viongozi wote duniani huheshimu sana vyombo vya dola .....AMBAVYO PIA NI WALINZI WAKUU WA KATIBA

Mmeona tu jana jeshi la Gambia limekataa kumlinda "rais" ....mkuu wa majeshi anasema ." i love my men and i cant take them into a stupid fight " ..... kikatiba walikuwa na jukumu la kumlinda hadi muda wake umalizike kikatiba ...ulipokwisha ..wakasema hawatakuwa tayari kuendelea kumlinda ....,
Ukiwa unafuatilia uapishwaji wa rais ..kuna kitu kinaitwa SHIFT of POWER ...hiyo ndio total shift of loyalty ......rais anayeingia anapomaliza tu kuapa sekunde hiyo hiyo ....MPAMBE WAKE HUHAMA HARAKA SANA BILA KUPOTEZA SEKUNDE KWENDA KWA RAIS MPYA ...hiyo ina maana he is totally ripped off his power ....na the same moment hapigiwi tena saluti yeyote ...he walks away completely powerless ,na hicho ni kitendo kinachohitaji ujasiri na ndio maana viongozi wengi wa kiafrika bado hawaataki kuona kikitokea ....

MFANO WA VYOMBO VYA DOLA NA ULINZI WA KATIBA ulitokea malawi ...alipofariki rais bingu wa mutharika .....kuna mambo mengi yaliendelea kwenye ikulu ya Blantyre , ikiwemo kuchukua mwili wake na kuupeleka Afrika ya kusini kama mgonjwa wakati ni mfu .....
Wakati Bingu anafariki hakuwa akiongea na makamu wake JOYCE BANDA ...na alikuwa kama amemuweka kizuizini ...kwa hiyo power brokers wa chama tawala wakawa wanataka kuitisha bunge haraka ili waondoe kipengele cha makamu kuwa kaimu rais kikatiba ....MKUU WA JESHI LA MALAWI na vyombo vyake waliingilia kati wakasema lazima katiba iheshimiwe na wakahakikisha anayetakiwa kukaimishwa urais anakaimu ...that was the highest level of ARMY PROFESSIONALISM Katika hali ile hata wangeamua kutwaa madaraka hakuna ambaye angewalaumu ....ila walitekeleza jukumu lao la ULINZI wa katiba .
MFANO mwingine uliwahi kutokea kenya wakati RAIS KENYATTA anafariki ...kundi la mount kenya mafia likiongozwa na CHARLES NJONJO lilitaka kuzuia makamu wa rais daniel moi asiapishwe na walifikia hata kutuma watu wamuuwe ....Moi akakimbilia porini ...ilikuwa hata ngumu kwa jeshi kumpata ili kumpeleka kuapishwa haraka ili kuondoa power vacuum .....kwani alikuwa anataka kutoroka nchi ...na magari yaliyokuwa yakimfuata ..aliongeza speed ya msafara wake ...akidhani wanataka kumkamata wamuuwe ....hadi walipofanikiwa kumshawishi kuongea na simu iliyokuwa kwenye landrover yake ..na kujadiliana naye ndipo akakubali kusimama wakaita helicopter ikamchukua haraka kumpeleka statehouse nairobi kuapishwa haraka ...na hapo hapo akawa tayari anayo nguvu ya dola kupambana na waliokuwa wanataka kumblock kuapa ....kilichofuatia ni mauwaji mengi sana ya chini chini ....hadi akaitwa mkono wa chuma [simulizi za kitabu kilichotungwa na Askari mkuu wa zamu kwenye chumba cha mawasiliano siku Kenyatta anafariki ]


so in conclussion URAIS NI Ile PRESIDENTIAL INSTITUTE ...nchi ikifikia ukomavu anyone can seat on the helm and the country stays ......kwa kuwa wale wanaoendesha kazi hawabadiliki sana na ni proffesionals
 
Back
Top Bottom