Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, katika miji mikubwa hapa nchini na hasa Dar mitaa ya Ohio na sehemu nyinginezo za Jiji, kuna akina dada wanajiuza- kutoa ngono kwa pesa aka Madada Poa. Vivyo hivyo kwa mija kama Arusha. Inasemekana baadhi ya wateja wao wakubwa ni watu wenye pesa zao na hata watu wa kawaida mradi tu waweze kulipia huduma hiyo. Inasemekana pia Madada hao huweza kutoa huduma hiyo hadi kwa watu 10 kwa siku kutegemeana na soko kwa siku hiyo.
Swali langu ni hili; Je, ni kwa nini Wanaume huenda kutafuta huduma hiyo mitaani? Saikolojia yangu inanipa taabu sana-Inakuwaje unaenda maeneo ya MaCD ukidhamiria kupata huduma ya ngono kwa mtu ambaye humjui, hujawahi kumuona? How do yo feel when you are performing with a stranger? Ni kweli unapata utoshelevu (satisfaction) unapofanya ngono ya namna hiyo?
Kwa akina dada. Je, wakati wanapata hao wateja huwa wanajisikia feelings na kutosheka? Maana kwa jinsi tulivyoumbwa ni kwamba tendo la ngono ni mchakato (process) linahitaji kuandaana hadi unahisi mwenzako yuko tayari kwa tendo. Is that possible wakati wa ngono ya kununua?
Swali langu ni hili; Je, ni kwa nini Wanaume huenda kutafuta huduma hiyo mitaani? Saikolojia yangu inanipa taabu sana-Inakuwaje unaenda maeneo ya MaCD ukidhamiria kupata huduma ya ngono kwa mtu ambaye humjui, hujawahi kumuona? How do yo feel when you are performing with a stranger? Ni kweli unapata utoshelevu (satisfaction) unapofanya ngono ya namna hiyo?
Kwa akina dada. Je, wakati wanapata hao wateja huwa wanajisikia feelings na kutosheka? Maana kwa jinsi tulivyoumbwa ni kwamba tendo la ngono ni mchakato (process) linahitaji kuandaana hadi unahisi mwenzako yuko tayari kwa tendo. Is that possible wakati wa ngono ya kununua?