Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,635
- 2,300
Kumbe nawe umewaona
Kumbe nawe umewaona
LnKumbe nawe umewaona
Hujui namna yakuaza kutongoza au uliaza kutaja kazi yako namshahara.Yaani mara ya kwanza kumtumia demu msg ya kumtaka kimahusiano basi kama dakika 3 hivi msg ikaingia kwenye simu yangu basi kwa ule mshtuko niliopata sikuifungua muda huo kwanza niliendelea kufanya kazi zangu huku kijasho kinanitoka hapo nawazia jibu lipi limerudishwa nikamaliza kazi yangu nikaoga.
Basi nikaenda sehemu nikaagiza kinywaji ile naanza kunywa nikatoa simu mfukoni nisome jibu la msg yangu nakuta simu imezima chaji.
Hivi kuna mahusiano gani ya msg na mshtuko wa mapigo ya moyo kuongezeka?
Daaaaah moyo umegonga paaaaap
Wewe wasema hivi ulipitia ile balehe ya ukiona kuku tuu unadinda
Kwanini jamani ?Daaaaah moyo umegonga paaaaap
Huwa zinataka kufanana na zile za M-PESA imethibitishwa umepokea kiasi cha Tsh 00000 kutoka kwa.......
Sent using Jamii Forums mobile app