Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,870
😂😂😂
😂😂😂
Sio broo huyu..ni manzi
Moyo unalipuka paa,halafu ukute umekaa jirani na mtu kaweka rmsg tone kama yako ndio utajuta kuzaliwa,kila msg ikiingia kwa mwenzako na we unashika sumu yako kuangalia kama umejibiwa,but that's human nature....
Huwa zinataka kufanana na zile za M-PESA imethibitishwa umepokea kiasi cha Tsh 00000 kutoka kwa.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sababu enzi zetu tulitumia neno "kufukuzia manzi/shori/madu"Kile kipindi cha mwanzo cha balehe
Dogo. Matokeo yameshatoka. Umefaulu lakini?Yaani mara ya kwanza kumtumia demu msg ya kumtaka kimahusiano basi kama dakika 3 hivi msg ikaingia kwenye simu yangu basi kwa ule mshtuko niliopata sikuifungua muda huo kwanza niliendelea kufanya kazi zangu huku kijasho kinanitoka hapo nawazia jibu lipi limerudishwa nikamaliza kazi yangu nikaoga.
Basi nikaenda sehemu nikaagiza kinywaji ile naanza kunywa nikatoa simu mfukoni nisome jibu la msg yangu nakuta simu imezima chaji.
Hivi kuna mahusiano gani ya msg na mshtuko wa mapigo ya moyo kuongezeka?
Hizi ni sababu za kimakenika, yaani moyo umeshikiliwa na mountain kama ilivyo engine ya gari na mwanamke ni kama clutch unit sasa unapotuma signal ya mapenzi inakuwa kama umekanyaga clutch sasa kale kamlio ka tweet tweet kanapoingia unaachia Clutch kwa haraka ndo maana moyo unafanya paaaaah ila ukishamzoea unaweza hata kuingiza gia bila kukanyaga clutch!Yaani mara ya kwanza kumtumia demu msg ya kumtaka kimahusiano basi kama dakika 3 hivi msg ikaingia kwenye simu yangu basi kwa ule mshtuko niliopata sikuifungua muda huo kwanza niliendelea kufanya kazi zangu huku kijasho kinanitoka hapo nawazia jibu lipi limerudishwa nikamaliza kazi yangu nikaoga.
Basi nikaenda sehemu nikaagiza kinywaji ile naanza kunywa nikatoa simu mfukoni nisome jibu la msg yangu nakuta simu imezima chaji.
Hivi kuna mahusiano gani ya msg na mshtuko wa mapigo ya moyo kuongezeka?
2020 bado unatongoza kwa SMS!!? Lol,
Unatuaibisha.
Yaani mara ya kwanza kumtumia demu msg ya kumtaka kimahusiano basi kama dakika 3 hivi msg ikaingia kwenye simu yangu basi kwa ule mshtuko niliopata sikuifungua muda huo kwanza niliendelea kufanya kazi zangu huku kijasho kinanitoka hapo nawazia jibu lipi limerudishwa nikamaliza kazi yangu nikaoga.
Basi nikaenda sehemu nikaagiza kinywaji ile naanza kunywa nikatoa simu mfukoni nisome jibu la msg yangu nakuta simu imezima chaji.
Hivi kuna mahusiano gani ya msg na mshtuko wa mapigo ya moyo kuongezeka?