Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Leo asabuhi tarehe 10 may 2011, kwenye taarifa ya habari TBC nimestushwa na habari kuwa, Ongezeko la wagonjwa wa akili Tanzania ni kubwa ni kubwa sana na Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa na wagonjwa wa akili wengi 89.000 wanaopata tiba ni wagonjwa 15.000 tu, waliopona hawazidi 300, wagonjwa wa akili Tanzania ni sehemu ya jamii iliyotengwa, sijui Tanzania kuna mabingwa wa ngapi (PSYCHOPATHOLOGY, as the study of mental illness) itafika wakati Tanzania itakuwa nchi ya machizi watupu kama hatuna wataalamu wa magonjwa ya akili..
nawakilisha
Leo asabuhi tarehe 10 may 2011, kwenye taarifa ya habari TBC nimestushwa na habari kuwa, Ongezeko la wagonjwa wa akili Tanzania ni kubwa ni kubwa sana na Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa na wagonjwa wa akili wengi 89.000 wanaopata tiba ni wagonjwa 15.000 tu, waliopona hawazidi 300, wagonjwa wa akili Tanzania ni sehemu ya jamii iliyotengwa, sijui Tanzania kuna mabingwa wa ngapi (PSYCHOPATHOLOGY, as the study of mental illness) itafika wakati Tanzania itakuwa nchi ya machizi watupu kama hatuna wataalamu wa magonjwa ya akili..
nawakilisha