Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,342
- 34,734
Hivi ni kwa nini chuo kikuu hamna tuition?
Aisee napenda sana kuhudhuria vipindi vya tuition kuliko vya shuleni sijui itakuaje kwa kweli
Shuleni mimi ni doja mzuri ila tuition ni mhudhuruaji mzuri
Jamani anzisheni tuition za chuo wengine hatuwezi soma bila tuition
Ngaiza Lusima huyu jamaa namkubali sana
Aisee napenda sana kuhudhuria vipindi vya tuition kuliko vya shuleni sijui itakuaje kwa kweli
Shuleni mimi ni doja mzuri ila tuition ni mhudhuruaji mzuri
Jamani anzisheni tuition za chuo wengine hatuwezi soma bila tuition
Ngaiza Lusima huyu jamaa namkubali sana