Hivi kwa nini hamna tuition ya chuo kikuu?

Hivi kwa nini hamna tuition ya chuo kikuu?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
25,342
Reaction score
34,734
Hivi ni kwa nini chuo kikuu hamna tuition?
Aisee napenda sana kuhudhuria vipindi vya tuition kuliko vya shuleni sijui itakuaje kwa kweli

Shuleni mimi ni doja mzuri ila tuition ni mhudhuruaji mzuri
Jamani anzisheni tuition za chuo wengine hatuwezi soma bila tuition

Ngaiza Lusima huyu jamaa namkubali sana
 
Anawapiga majungu wanafunzi wake tena duuh

Ana msemo wake anajiita yeye mkongwe ila wengine mamluki
hahahaah huo msemo wakuitana mamlukii ndo ulinkmbiza tuition kwakee mimi... Ukiwa mamluki ukiilza swali hakujibu
 
hahahaah huo msemo wakuitana mamlukii ndo ulinkmbiza tuition kwakee mimi... Ukiwa mamluki ukiilza swali hakujibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ungevumilia tu mkuu
 
Anawapiga majungu wanafunzi wake tena duuh

Ana msemo wake anajiita yeye mkongwe ila wengine mamluki
Kila mtu anaekufundisha ni mkongwe sasa cjui nan zaid
 
uk
Hivi ni kwa nini chuo kikuu hamna tuition?
Aisee napenda sana kuhudhuria vipindi vya tuition kuliko vya shuleni sijui itakuaje kwa kweli

Shuleni mimi ni doja mzuri ila tuition ni mhudhuruaji mzuri
Jamani anzisheni tuition za chuo wengine hatuwezi soma bila tuition

Ngaiza Lusima huyu jamaa namkubali sana
utalivua tu hilo gamba ulilovaa
time will tell
kilichokuwa kinakufanya uende kwa ngaiza usiende shule chuo kipo kwahiyo usijali kabisa
 
Back
Top Bottom