We kialaza HR 666 umeweza kusapua sapu zako 5 katika masomo 8
Post sent using JamiiForums mobile app














Unataka usome tuition juu ya tuition. Hicho chuo chenyewe kinatoa tuition tu sasa tuition nyingine ya niniHivi ni kwa nini chuo kikuu hamna tuition?
Aisee napenda sana kuhudhuria vipindi vya tuition kuliko vya shuleni sijui itakuaje kwa kweli
Shuleni mimi ni doja mzuri ila tuition ni mhudhuruaji mzuri
Jamani anzisheni tuition za chuo wengine hatuwezi soma bila tuition
Ngaiza Lusima huyu jamaa namkubali sana