Nimejiuliza lakini sipati jibu kwa nini vijana chini ya miaka 30 hawaipendi ccm sijapata jibu.wazee tuu ndio wanaipenda
Wapenda mabadiliko wote,wanataka mfumo mpya!Kwa maneno mengine malofa na wapumbavu kama alivyotupa jina mh.mkapa.mi binafsi nimelipenda jina hilo.Ukiwauliza watu mtaani ,mama ntilie,bodaboda, wanachuo, walimu ,madakitari watakwambia mpango mzima ukawa
hata huku jamii forum lowasa 90% wanamtaka makofuli 10% tuu ndio wanamtaka.anguko la ccm mwaka huu
Ukiwauliza watu mtaani ,mama ntilie,bodaboda, wanachuo, walimu ,madakitari watakwambia mpango mzima ukawa
Ukiona kijana anaipenda ccm jua ni mganga wa kienyeji
mtoto wa kigogo
au amelazimishwa ili apate mahitaji
Mm pia ni kijana na nakili nikiwa na akili zangu timamu naichukia CCM kama ninavyouchikia umasiki,thread hii iwe ni pool kwa vijana ili tuangalie kwa juu juu tu ni wangapi hawaipendi Ccm.viva ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽