tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,813
- 15,070
Wakuu, Hivi ni kwa nini baada ya shambulio la sept 11 kule Marekani, kuna taarifa kuwa watoto wa mfalme wa SaudI Arabia walikufa vifo tata katka matukio matatu tofauti ndani ya saudia.
Inasemekana agents wa CIA na Mossad walikua wanahusika na vifo hvyo.
Je, tatizo lilikua ni nini mpaka hao watu wauwawe? nimejaribu kuunganisha dot na bill iliyopitishwa majuzi na Congress kule Marekani ya kuitaka Saudi Arabia iwalipe fidia watu wote walioathirika na lile shambulio na kuuwawa kwa hao watoto wa mfalme, nimeona kama kuna siri kubwa iliyofichwa?
Mwenye kuelewa atusimulie basi.
Inasemekana agents wa CIA na Mossad walikua wanahusika na vifo hvyo.
Je, tatizo lilikua ni nini mpaka hao watu wauwawe? nimejaribu kuunganisha dot na bill iliyopitishwa majuzi na Congress kule Marekani ya kuitaka Saudi Arabia iwalipe fidia watu wote walioathirika na lile shambulio na kuuwawa kwa hao watoto wa mfalme, nimeona kama kuna siri kubwa iliyofichwa?
Mwenye kuelewa atusimulie basi.