samahani jamani embu ni saidie, sifa gani ukiwa nazo unaonesha una mpini mkubwa?mmmh!hongera NN, mi wananiogopa!wanasema umbo langu linaonyesha nina mpini mkubwa!
samahani jamani embu ni saidie, sifa gani ukiwa nazo unaonesha una mpini mkubwa?mmmh!hongera NN, mi wananiogopa!wanasema umbo langu linaonyesha nina mpini mkubwa!
samahani jamani embu ni saidie, sifa gani ukiwa nazo unaonesha una mpini mkubwa?
Usihofu ukikutana na paka mweusi mie wala hutoniogopa tena utatamani uwe nami milele
Wote mmechemka jamani na mie mwanamke nawashinda. siku hizi hakuna kutongoza, kaa kwenye gari hata ya kuazima vaa suti au nguo zenye majina basi umekwaa wadada enzi zetu bwana ukiona mwanaume yuleeee mbio kuelekea nyumbani kam ani mtoni mpaka usindikizwe. kweli utandawazi upo
Ila sasa kuna kasheshe moja kwamba siku hizi hakuna usumbufu kwenye kupata hayo mambo. tayari kuna wale wanaofanya bishara yao wewe ukiwa na dola zako huulizi unashika mkono tu.
OMG!
Dont turn the hands of my age-counter anticlockwise!
Haya mambo mi niliyafanya kizamani zaidi, hata sijui siku hizi mnatongozaje!...Lakini nina vijana jirani na kwangu wakimwambia msichana."MAMBO?...Sasa inakuwaje?", ndo wanakuwa washamaliza khabari yote!...huh!
Hakuna ufundi hapo, sifa ni ujue kuongea..basi!
mmmh!hongera NN, mi wananiogopa!wanasema umbo langu linaonyesha nina mpini mkubwa!
Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu aisee...
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
Haahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Bacha itabidi niombe gemu siku moja na wewe ili niuone huo mpini :becky:
Aisee nakumbuka enzi niko secondary na chuo nilikuwa natamani sana kutongoza. Lakini cha ajabu ilikuwa nashindwa kuanza, na nilipojitutumua basi tena hadi jasho linakuwa linanitoka (kwa hofu). Lakini nilikuwa nashangaa kuna jamaa zangu wao ilikuwa easy kweli yani mkikutana na demu, akitoa tu salamu tayari inakuwa na mwelekeo wa kutongoza na akitaka kumtongoza basi inakuwa kirahisiiiiiiii. Ila mi ilikuwa ngumu aisee...
Ila kwa sasa nashukuru nimegundua mbinu... siumizi kichwa... ni pasi moja ndefu hadi golini... Yaani nikimtaka demu ni kumsalimia kisha naenda moja kwa moja to the point ...aisee Mshiki nimekufeel sana natamani unipe hapo hiyo kitu yako, Unasemaje... Then from there inabaki tu kusisitiza maana nimeshatamka shida yangu.
Ila mi naona kutongoza ni kipaji aisee...
Basi nyie wote hamjui maana ya kutongoza, huko si kutongoza bali ni KUTAKA!!!!
Sijaona mtongozaji hata mmoja humu bali WATAKAJI ndio mpo wengi
hujaawahi tongozwa humu?