Siku hizi mtu akisema atagombea nafasi yoyote basi inakuwa nongwa kwanini lakini wakati ni haki ya mtu kikatiba? Wadau hebu naomba mnieleweshe hasa wale wachambuzi wazuri wa siasa najua mko humu ndani.
hili jambo huwa nashindwa kulielewa kwamba mtu wa tofauti wa mikoa ya kaskazini hatakiwi au inakuwaje maana nimeshasikia zaidi ya mara moja humu jf na baadhi ya viongozi cdm wakimtaja dr slaa kama ndo mgombea wa 2015,hla zito akisema nataka kugombe urais anaambiwa anavuruga chama hadi mzee mtei aliongea lakini km wiki zilizopita mbowe kamtaja dr slaa alisifiwa kweli kwa busara,hv tatizo nini?kugombea uongozi ni haki ya kila mmoja kwanini zitto inakuwa nongwa ?
hivi lini dr slaa katangaza kugombea urais 2015?hili jambo huwa nashindwa kulielewa kwamba mtu wa tofauti wa mikoa ya kaskazini hatakiwi au inakuwaje maana nimeshasikia zaidi ya mara moja humu jf na baadhi ya viongozi chadema wakimtaja dr. Slaa kama ndo mgombea wa 2015,ila zitto akisema nataka kugombea urais anaambiwa anavuruga chama. Hadi mzee mtei aliongea lakini km wiki zilizopita mbowe kamtaja dr. Slaa alisifiwa kweli kwa busara.
Hivi tatizo nini?kugombea uongozi ni haki ya kila mmoja kwanini zitto inakuwa nongwa ?
Hana uwezo wa kuwa Rais, anatangaza ili kuwafuruga watu
chezea mtu aliyepitwa na umeme wa Magamba
Mbowe hajamtaja mgombea yeyote, bali amesema yeye hatagombea.Hili jambo huwa nashindwa kulielewa kwamba mtu wa tofauti wa mikoa ya kaskazini hatakiwi au inakuwaje maana nimeshasikia zaidi ya mara moja humu jf na baadhi ya viongozi CHADEMA wakimtaja Dr. Slaa kama ndo mgombea wa 2015,Ila Zitto akisema nataka kugombea urais anaambiwa anavuruga chama. Hadi mzee Mtei aliongea lakini km wiki zilizopita Mbowe kamtaja Dr. Slaa alisifiwa kweli kwa busara.
Hivi tatizo nini?kugombea uongozi ni haki ya kila mmoja kwanini Zitto inakuwa nongwa ?
hivi lini dr slaa katangaza kugombea urais 2015?
Hivi tatizo nini?kugombea uongozi ni haki ya kila mmoja kwanini Zitto inakuwa nongwa ?
mkuu sijawahi kusikia dr slaa akisema anataka kugombea urais,labda wadau wanikosoe hapa. Usipende kusema uwongo kwa umri wako huo!Hili jambo huwa nashindwa kulielewa kwamba mtu wa tofauti wa mikoa ya kaskazini hatakiwi au inakuwaje maana nimeshasikia zaidi ya mara moja humu jf na baadhi ya viongozi CHADEMA wakimtaja Dr. Slaa kama ndo mgombea wa 2015,Ila Zitto akisema nataka kugombea urais anaambiwa anavuruga chama. Hadi mzee Mtei aliongea lakini km wiki zilizopita Mbowe kamtaja Dr. Slaa alisifiwa kweli kwa busara.
Hivi tatizo nini?kugombea uongozi ni haki ya kila mmoja kwanini Zitto inakuwa nongwa ?