Mbogo_beichee
Senior Member
- Mar 31, 2021
- 175
- 482
Habari za muda huu wadau. Mim swali langu ni fupi tuu.
Kwa mtu anaejua em apate kutufahamisha, labda kutokana na experience zenu tunaweza kujifunza.
Hivi imeshawai kukutokea njia panda kwamba kuna siri unaijua kuhusu mfano wanandoa halafu unajua ukisema ndoa inaweza kuvunjika na usiposema kuna kitu kibaya kingine kitatokea?
Mfano ukimfumania Shemeji/wifi yako anachepuka utaenda kumwambia kaka/dada yako? Vipi baada ya kumwambia wakaachana na kuna watoto labda. Na usipomwambia, vipi huyo anaechepuka akaleta magonjwa (ukimwi) kwenye familia, na kuna watoto wanaowategemea labda.
Em tupeni ujuzi wenu wadau hapa tunafanyaje?
Kwa mtu anaejua em apate kutufahamisha, labda kutokana na experience zenu tunaweza kujifunza.
Hivi imeshawai kukutokea njia panda kwamba kuna siri unaijua kuhusu mfano wanandoa halafu unajua ukisema ndoa inaweza kuvunjika na usiposema kuna kitu kibaya kingine kitatokea?
Mfano ukimfumania Shemeji/wifi yako anachepuka utaenda kumwambia kaka/dada yako? Vipi baada ya kumwambia wakaachana na kuna watoto labda. Na usipomwambia, vipi huyo anaechepuka akaleta magonjwa (ukimwi) kwenye familia, na kuna watoto wanaowategemea labda.
Em tupeni ujuzi wenu wadau hapa tunafanyaje?