Hivi kuna watu wanaiamini CHADEMA?

Hivi kuna watu wanaiamini CHADEMA?

Mkuu pole kwa matusi yote utakayo pata😂😂 naamini akina erthrocyte.bujibuji.BAK.salary slip nk hawatakuacha hivihivi bila matusi kuntu coz ukweli unauma ja hawa ndugu zako hawapendi ukweli😂😂
Uzuri hawana jipya, wahenga walisema "ada ya mja hunena, muungwana ni kitendo" 🤣🤣
Magufuli ni kama 💦💦ujue tuu kwamba usipoyaoga utayanywa

Mungu ibariki Tanzania 😍🇹🇿👍
 
Mimi nilisimamia uchaguzi, kituo changu matokeo yalikuwa hivi, Tundu Antipas Lissu kura 79 Magufuli kura 31 lakini matokeo yalibandikwa Tundu Antipas Lissu kura 6 Magufuli kura 370 . hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.

Kuna sehem ambazo nkikuonyesha kura za lissu unaweza shika kichwa, in the name of democracry there was no any way lissu angeshinda huu uchaguzi, either ccm wasingefanya any harm or whatever reason lissu alikua anaenda kushindwa
 
Abdul Aaliyah
Shule kufanya nini, mbona huyo jamaa yenu anaejiiita msomi wa sheria ameishia kukizika chama chenu kwa kuleta kambunge kamoja tena kakule kijijini sigimbi halafukatimukia ugaibuniii. Alidhani kero za wabongo ni zile kiki za ushuhuda wakee
 
Kweli kabsa,ndomana mwenyekit aliwananga wale waliokumbwa na tetemeko
Hakuna binadamu anayejielewa anayeweza kukipenda chama kinacholiombea taifa majanga na kushabikia matatizo yanayotokea
 
Msomi atabaki msomi tu,hawezi kuitwa msomi kwa sababu ya ww nguchiro
Shule kufanya nini, mbona huyo jamaa yenu anaejiiita msomi wa sheria ameishia kukizika chama chenu kwa kuleta kambunge kamoja tena kakule kijijini sigimbi halafukatimukia ugaibuniii. Alidhani kero za wabongo ni zile kiki za ushuhuda wakee
 
Joined JF oct-28-2020, for special purpose- To discredit Chadema. Poor Lumuba wildebeest
 
Namaanisha kuna watu wanaamini kuwa Lissu angekuwa Rais na Mbowe awe waziri mkuu kama alivyosema kuwa atakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 na akina sugu na Msigwa na Lema nk wawe mawaziri?

Khaa, hebu wakati mwingine tuwe serious. Kwasasa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushika dola hakipo. Vyama vya upinzani vilivyopo ni vya wasakatonge na wahuni tu. CCM inaendelea kuwa chama bora na smart hasa ktk kipindi hiki cha awamu ya 5.

Nyendo za Mh Magufuli zinanikumbusha kipindi cha Mwalimu, kiongozi aliyetamani kuona tukijitegemea kiuchumi, hakika JPM wewe ni Rais wapili smart baada ya JKN
Kwa conditions zipi? Mbona hujasema iwapo kutakuwa na tume huru, katiba mpya nk?
 
Mimi nilisimamia uchaguzi, kituo changu matokeo yalikuwa hivi, Tundu Antipas Lissu kura 79 Magufuli kura 31 lakini matokeo yalibandikwa Tundu Antipas Lissu kura 6 Magufuli kura 370 . hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Lete uthibitisho wa hicho unachokisema. Yaani meza ipinduliwe kiasi hicho halafu mkae kimya labda kama mlihongwa
 
Namaanisha kuna watu wanaamini kuwa Lissu angekuwa Rais na Mbowe awe waziri mkuu kama alivyosema kuwa atakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 na akina sugu na Msigwa na Lema nk wawe mawaziri?

Khaa, hebu wakati mwingine tuwe serious. Kwasasa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushika dola hakipo. Vyama vya upinzani vilivyopo ni vya wasakatonge na wahuni tu. CCM inaendelea kuwa chama bora na smart hasa ktk kipindi hiki cha awamu ya 5.

Nyendo za Mh Magufuli zinanikumbusha kipindi cha Mwalimu, kiongozi aliyetamani kuona tukijitegemea kiuchumi, hakika JPM wewe ni Rais wapili smart baada ya JKN
20201106_121349.jpg
 
Namaanisha kuna watu wanaamini kuwa Lissu angekuwa Rais na Mbowe awe waziri mkuu kama alivyosema kuwa atakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 na akina sugu na Msigwa na Lema nk wawe mawaziri?

Khaa, hebu wakati mwingine tuwe serious. Kwasasa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushika dola hakipo. Vyama vya upinzani vilivyopo ni vya wasakatonge na wahuni tu. CCM inaendelea kuwa chama bora na smart hasa ktk kipindi hiki cha awamu ya 5.

Nyendo za Mh Magufuli zinanikumbusha kipindi cha Mwalimu, kiongozi aliyetamani kuona tukijitegemea kiuchumi, hakika JPM wewe ni Rais wapili smart baada ya JKN
Matusi ya nini mkuu? Samahani kukuambia kuwa kama wewe ndiye sampuli sahihi ya wana CCM (representative sample), basi CCM ni ya watu wa hovyo.
 
Mh, urongo mtupu, hamkubaligi kushindwa since multiparty imeanza, kituo gani hicho, mbona hamkukishtaki kituo, mm kituo Changu na around the area, lisu wenu amepigwa mchana kweupe.
Mkuu kama kweli we ni mtanzania hongera sana.

Au unatafuta watz wenzio waende jera kwa kuropokwa na siri kwa watu wasiohusika?
 
Back
Top Bottom