Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Naona ndiyo umeingia juzi na Nyahunge ExpressHivi mtu anaanzaje kuichukia CCM?
Naona ndiyo umeingia juzi na Nyahunge ExpressHivi mtu anaanzaje kuichukia CCM?
Wanawake wanawatoa jasho wanaume wazima. Hadi mnazira kuwa mawakili wao.Unadhani watu wote wana akili kisoda kama zako?
Kizazi cha koromitjeWanawake wanawatoa jasho wanaume wazima. Hadi mnazira kuwa mawakili wao.
Kila mtu analijua hilo, hakuna kipindi Ccm imepata kura chache sana kama uchaguzi uliopita. Mpaka usiwe timamu upstairs ndiyo unaweza chagua Jiwe badala ya Lissu. Na ndiyo maana hata kuiba kura ilishindikanika ikabidi walete kura feki zaoMimi nilisimamia uchaguzi, kituo changu matokeo yalikuwa hivi, Tundu Antipas Lissu kura 79 Magufuli kura 31 lakini matokeo yalibandikwa Tundu Antipas Lissu kura 6 Magufuli kura 370 . hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Mumetapatapaa, juuu ya wamama wale, sasa mumeamua kupoa wenyewe kama maji mtungini. Na kama mnaendesha chama kufuata mawazo ya huyo lisu, mtafutika mileleee.Kizazi cha koromitje
Wewe mwenyewe ni mama tuMumetapatapaa, juuu ya wamama wale, sasa mumeamua kupoa wenyewe kama maji mtungini. Na kama mnaendesha chama kufuata mawazo ya huyo lisu, mtafutika mileleee.
Huwez kupendwa na Wote. Mungu mwenyewe kaumba binadam lakin wamo wanaomchukia.Hivi mtu anaanzaje kuichukia CCM?
Mumevurugwaa balaa. Mgombea wenu wa ugaibuni kawaletea mbunge mumoja pamoja na zile kiki za miujiza akirazimisha watanzania wampe uraisi kama kifuta machozi.Wewe mwenyewe ni mama tu
Namaanisha kuna watu wanaamini kuwa Lissu angekuwa Rais na Mbowe awe waziri mkuu kama alivyosema kuwa atakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 na akina sugu na Msigwa na Lema nk wawe mawaziri?
Khaa, hebu wakati mwingine tuwe serious. Kwasasa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushika dola hakipo. Vyama vya upinzani vilivyopo ni vya wasakatonge na wahuni tu. CCM inaendelea kuwa chama bora na smart hasa ktk kipindi hiki cha awamu ya 5.
Nyendo za Mh Magufuli zinanikumbusha kipindi cha Mwalimu, kiongozi aliyetamani kuona tukijitegemea kiuchumi, hakika JPM wewe ni Rais wapili smart baada ya JKN
Vilikuwa vingi hatuna haja ya kushtaki vituo zaidi ya kusema ulikuwa ujinga na si uchaguzi mimi binafs ktk kituo changu marehemu wapatao 75 walipiga kura kwa MagufuliMh, urongo mtupu, hamkubaligi kushindwa since multiparty imeanza, kituo gani hicho, mbona hamkukishtaki kituo, mm kituo Changu na around the area, lisu wenu amepigwa mchana kweupe.
Ufipa ni matusi tu. Na ushauri hua hawapokeiNgoja WAFIPA wamalize kukuchagulia matusi yanayokufaa![]()
Vipi kura za mbunge wako na diwani au hukuwa na habari nazo?Mimi nilisimamia uchaguzi, kituo changu matokeo yalikuwa hivi, Tundu Antipas Lissu kura 79 Magufuli kura 31 lakini matokeo yalibandikwa Tundu Antipas Lissu kura 6 Magufuli kura 370 . hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Kwanini hazikuheshimiwa?
Kakudanganya nani? Pole mwaya🤣🤣Hahaha Magufuli wakisema ndani ya kamati kuu ya ccm zipigwe kura za siri, anapata kura moja.
Yani hata akiiba kura atakuta sio zake.
Yani sio tu hapendwi hata kukubalika hakubaliki huko aliko.
Sasa ccm ndio hata hatuongei, imeoza.
Namaanisha kuna watu wanaamini kuwa Lissu angekuwa Rais na Mbowe awe waziri mkuu kama alivyosema kuwa atakuwa waziri mkuu ndani ya saa 72 na akina sugu na Msigwa na Lema nk wawe mawaziri?
Khaa, hebu wakati mwingine tuwe serious. Kwasasa hakuna chama cha upinzani kinachoweza kushika dola hakipo. Vyama vya upinzani vilivyopo ni vya wasakatonge na wahuni tu. CCM inaendelea kuwa chama bora na smart hasa ktk kipindi hiki cha awamu ya 5.
Nyendo za Mh Magufuli zinanikumbusha kipindi cha Mwalimu, kiongozi aliyetamani kuona tukijitegemea kiuchumi, hakika JPM wewe ni Rais wapili smart baada ya JKN
KLMK ulitaka tumuamini mama wa familia yako ?
Hahaha 2015valituambia analala na ma fail kufanya teuzi akatuletea kina Makonda, this time nasikia hataki watu wa ccm ni hatari anasubiria vichwa vya CHADEMA.Kakudanganya nani? Pole mwaya🤣🤣
Magufuli ni kama 💦💦ujue tuu kwamba usipoyaoga utayanywa
Mungu ibariki Tanzania 😍🇹🇿👍