Elon J
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 630
- 1,847
Jamani hivi Kuna UMUHIMU gan vyuo vyetu kuendelea kutoa hii course ya mass communication/journalism wakati imeshavamiwa na watu wasio kuwa na TAALUMA husika.
Yani saiv Tanzania hata mtu ata akifanya kituko tu mtaani au Kawa maarufu anaitwa kwenye media Fulani anakwenda kuwa mtangazaji, sasa Kuna UMUHIMU gan kuendelea kutoa hii course.
Hii course naona imeshashushwa hadhi kabsa sababu saiv hajulikan nani mwanahabar Nan syo mwanahabar Yan mvulugano tu, saiv kila mtu reporter, kila mtu Mwanahabari.
Yani saiv Tanzania hata mtu ata akifanya kituko tu mtaani au Kawa maarufu anaitwa kwenye media Fulani anakwenda kuwa mtangazaji, sasa Kuna UMUHIMU gan kuendelea kutoa hii course.
Hii course naona imeshashushwa hadhi kabsa sababu saiv hajulikan nani mwanahabar Nan syo mwanahabar Yan mvulugano tu, saiv kila mtu reporter, kila mtu Mwanahabari.