Hivi kuna ukweli katika hili?

pepim

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
335
51
Wanajamvi wenzangu eehe,hivi kuna ukweli katika hili?Huku kwetu na sehemu nyingine za Tanzagiza kuna tetesi zilizozagaa kuwa chainizi(mboga za majani) si nzuri kwa afya katika upande wa wanaume...eti zinapunguza nguvu za kiume na zilianzia huko China kwa minajili ya kuzuia ongezeko la watu lililokithiri huko enzi hizo...Mchango wenu una faida sana kwangu,kwa wanajf wengine pamoja na watanzagiza.
 
Wanajamvi wenzangu eehe,hivi kuna ukweli katika hili?Huku kwetu na sehemu nyingine za Tanzagiza kuna tetesi zilizozagaa kuwa chainizi(mboga za majani) si nzuri kwa afya katika upande wa wanaume...eti zinapunguza nguvu za kiume na zilianzia huko chini kwaajili ya kuzuia ongezeko la watu lililokithiri huko enzi hizo...Mchango wenu una faida sana kwangu,kwa wanajf wengine pamoja na watanzagiza.

Huko chini ndo wapi?
 
Ni makosa ya kiuandishi kijuche..Nilikuwa namaanisha China na wala co chini,swaumu kali.
 
Ni makosa ya kiuandishi kijuche..Nilikuwa namaanisha China na wala co chini,swaumu kali.
<br />
<br />
mbona enzi hizo watu walikula na walikuwa wanapiga kazi kama kawaida na kulikuwa hakuna kesi za mtu kushindwa kutimiza wajibu kama siku hizi? Haya ni mabadiliko yanayotokana na namna tunavyoishi,tunavyokula,tunavyokunywa na mengineyo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom