Hivi kuna uhusiano gani hapa?

Hivi kuna uhusiano gani hapa?

Usijali Mkuu endelea kuamini unachokiamini ila mie kwangu ni NO.

Wapo wenye sura za kawaida na wana roho nzuri hatari na wapo hao sijui ndio warembo kwako na wana roho mbaya kuliko.


Ni sawa andelea kuamini hvyo mpaka siku utakujua kujua ukweli.Handsome are good peoples to be on power.
 
Hapo vip!!
Mimi katika research zangu nimegundua wanaume handsome na beatifuly au Pretty girls hawana roho mbaya (roho ya zakitatili)

Katka research zangu nimegundua sura ya mtu inaweza ikareflect na roho yake ilivyo.

Watu wenye sura nzuri Duniani yaani handsome mens ni watu.
1.watu wastarabu wanaopenda amani, wenye busara na hekima.
2.Hawapendi shida.
3.Wanapenda amani sana na wanaroho ya uruma.
4.si wababe.
Mfano angalia viongozi hawa itawala wao.. Clinton vs George Bush,Oboma vs Trump.
Milton Obote vs Iddi Amani Dada.
Huku pengine mimi sipo.

Kwa wanaojua wahandsome haswaa na pretty girls na umeshakaa nao ninaimani umeona ka ukweli.. Hapa sizungumzie u beautiful na handsome unaetafutwa kwenye makopo, na maanisha wale OG.. kabisa.


Mbona Obama si handsome.
 
kweli kabisa halafu sio wachoyo kabisaaa wana huruma sana,waendelee na moyo huohuo aisee.
 
Hivi umeshawahi kumuona lucifa? Ni handsome kweli kweli lakini angalia balaa lake
 
Na Mukulu nae ni OG (Original Gangstar)

Hapendagi mambo ya Ubishoobishoo kama Mahandsome..!

Yeye hakuchaguliwa kwa ajili ya kuja kuuza Sura na kutafuta Warembo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Anawanyoosha Km Rais Assad wa Syria
 
Hivi umeshawahi kumuona lucifa? Ni handsome kweli kweli lakini angalia balaa lake

Acha uwongo wako wewe hakuna mtu ambaye alishamuona shetani wala Mungu.. na picture zote zinazochorwa zinaonyesha shetani ni jitu baya jeusi, ambae halieleweki na Yesu ni handsome.
 
Hapo vip!!
Mimi katika research zangu nimegundua wanaume handsome na beatifuly au Pretty girls hawana roho mbaya (roho ya zakitatili)

Katka research zangu nimegundua sura ya mtu inaweza ikareflect na roho yake ilivyo.

Watu wenye sura nzuri Duniani yaani handsome mens ni watu.
1.watu wastarabu wanaopenda amani, wenye busara na hekima.
2.Hawapendi shida.
3.Wanapenda amani sana na wanaroho ya uruma.
4.si wababe.
Mfano angalia viongozi hawa itawala wao.. Clinton vs George Bush,Oboma vs Trump.
Milton Obote vs Iddi Amani Dada.
Huku pengine mimi sipo.

Kwa wanaojua wahandsome haswaa na pretty girls na umeshakaa nao ninaimani umeona ka ukweli.. Hapa sizungumzie u beautiful na handsome unaetafutwa kwenye makopo, na maanisha wale OG.. kabisa.


Hiii theory inawezekana kuwa sahihi.....si tunaona jinsi Ruge anavyonyanyasa mademu wasiojitambua hapa Bongo? Ukimkataa baada ya kuona sura yake anakulostisha kwa kunyimwa air time Clouds then unaangukia kwenye mikono ya fisi a.k.a. Diamond Platinumuz a.k.a. Okota Okota.
 
Acha uwongo wako wewe hakuna mtu ambaye alishamuona shetani wala Mungu.. na picture zote zinazochorwa zinaonyesha shetani ni jitu baya jeusi, ambae halieleweki na Yesu ni handsome.
Uwongo manaake nini? Vipi kuhusu kudanganya?
 
Nashukuru sana Mzee Wa Oldadai. Yaan unakuta kademu kabayaaaa halafu kana nyodoooo, anakuangalia kama mavi *****. Watoto wazuri wanarespond positively once u call her, na hata ukirusha nyavu anakuchomolea kistaarabu mpaka unaenjoy. Hv nn hiki???????
 
Nashukuru sana Mzee Wa Oldadai. Yaan unakuta kademu kabayaaaa halafu kana nyodoooo, anakuangalia kama mavi *****. Watoto wazuri wanarespond positively once u call her, na hata ukirusha nyavu anakuchomolea kistaarabu mpaka unaenjoy. Hv nn hiki???????

Ni kweli hata mimi nimekutana na mazingira kama hayo pretty girls niwastarabu sana na hata kama hakutani anakuacha in soft style.
 
Sio kwamba wanakuwa masikin wala hawana pesa hapana.ila hawana akili yaani mambo yao mengi ya kipuuzii saana
Sio kwamba wanakuwa masikin wala hawana pesa hapana.ila hawana akili yaani mambo yao mengi ya kipuuzii saana

wengi wana akili sana,google innovators wengi angalia sura zao..wako smart sana kama walivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom