Anakuja Yesu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 563
- 485
Hapana mimi nimekataaa.ila naunga mkono hoja yakowengi wana akili sana,google innovators wengi angalia sura zao..wako smart sana kama walivyo.
Hapana mimi nimekataaa.ila naunga mkono hoja yakowengi wana akili sana,google innovators wengi angalia sura zao..wako smart sana kama walivyo.
UmeonaaaNi kweli hata mimi nimekutana na mazingira kama hayo pretty girls niwastarabu sana na hata kama hakutani anakuacha in soft style.
Acha watu waendelee kunywa maji mengi, usiwakatishe tamaa kihivyo.
Sana tu mkuu, bongo wajinga wengi mbona.Kumbe hii theory bado ipo valid!!
Inawezekana ikawa kweli au isiwe kweli...
Research zime prove kwamba agopa sana watu wazima lakini wana baby faces...
Ni wazuri kwa nje, lakini wana roho za kikatili sana... Na hutoweza amini matukio yao ya kutisha na ya kinyama...
toa mifano mkuu becouse research ni data zenye fact na sio kujenga hoja unaingia mtini,tupe mifano ya handsome na pretty girls ambao wanadhibitisha hayo unayoyasema.
Cc: mahondaw
mwinyi!Hivi mwinyi na mkapa nan handsome