kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Habari za Zenu Wakuu Mbalimbali
Naomba kuuliza swali langu kama ifuatavyo:
Je, kuna Taasisi ya Serikali hapa Nchini ambapo Mfumo mpyaa wa ulipaji Mafao kwa ajili ya Wastaafu Yaani Kikokotoo hakiwahusu na wanaendelea kutumia Mfumo wa Zamani kwa ajili ya Malipo ya Wastaafu?
Naomba kuwasilisha tafadhali.
Kukumsela
Naomba kuuliza swali langu kama ifuatavyo:
Je, kuna Taasisi ya Serikali hapa Nchini ambapo Mfumo mpyaa wa ulipaji Mafao kwa ajili ya Wastaafu Yaani Kikokotoo hakiwahusu na wanaendelea kutumia Mfumo wa Zamani kwa ajili ya Malipo ya Wastaafu?
Naomba kuwasilisha tafadhali.
Kukumsela