Labda walimu wa madrasa.
Napokea mikukii
Anyway specify walimu wa serikali labda, hapo sibishiii, labda sijui awe ni mishe gani byingne,
Ila kuna walimu shule kubwa za private anakula 2M, mimi kuna ninao fahamiana nao kbsa wanapita na 1.4M tena ni wakati hivi anaanza ila wengi 1.8M, posho za surprise za kutosha, graduations pesa za kuwawezesha ukisikiliza inagonga +200M, mfuko wao wa kukopeshana una 1B kasoro baada ya wengi kuchukua,
kila mwanafunzi anatoa 100k ya hamasa kwa walimu kila wakianza mwaka, Ukitoa div 1 ni 100k kila ile(kumbuka ndio zinajaa, almost 90%),
Ni shule flan ya girs siwezi taja ipo kaskazini kule, ada ni zaidi ya 6M( narudia tena ni Zaidi) kwa wanafunzi +1,300, Na mmiliki kwenye vikao anakuambia kbsa shule haiendeshwi kwa ada na michango, ni Wafadhiri kutoka US...
One of the best school i ever seen with the best facilities, environments for students, etc. Sikuhizi haiingi sana top 10 sbb inakua na wanafunzi wengi sana, unakuta darasa moja wanafunzi 200 na ushee, ila piga ua lazima waingize wanafunzi top 10, na yenyewe ichezee kwenye kumi na.... huko, mwisho ni dv 2 za kueleweka..
Ukiangalia parking yao pale nje, ni Kruger, Harrier, Rav4 za maana n.k.
Siongei nadharia, nina ...... wanasoma kule, vikao naenda, rafiki wanafanya kazi, n.k n.k..
Kwa mwenye kuijua mpk hapo ashaiju