Yupo shemeji yangu hapo Dar anayo na ni teacherhabarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Sidhani labda wenye harakati, harrier ni 30M+ Sasa kwa mshahara wa laki 3 kwa mwezi atawezaje
Serikali ndio inawafanya wawe masikini, fikiria mwalimu akikopa 10mln anatakiwa airudishe ndani ya miaka 5 na ataongeza riba kama ya 5.5mln, lkn mfanya biashara yaweza kuwa ni mwaka mmoja na riba sio zaidi ya 1mlnMwalimu aliyefanikiwa kaishia kumiliki Pajero ya 2004😅😅 au pikipiki boxer Tena used
Labda ana churaYupo shemeji yangu hapo Dar anayo na ni teacher
Ualimu wa level Gan.....Kuna lectures and tuitourYou can't be serious...!!
Mwalimu anakaa miaka 20 kazini pikipiki tu INAMSHINDA ndio ije tako la nyani ambalo ni 30M+...
UALIMU ni kazi ya watoto wa maskini ...ndio maana hata akili zao na uwezo wao ni wa kimaskini sana.
Japo UALIMU ni kazi ya mitume na manabii ila kwa sasa hivi hii kada imevamiwa mno na wahuni.
Ukiamua kuwa mwalimu basi ukubali kuipa mgongo Dunia kama walimu wa Madrasa.
Nan Kaleta uzi wew ndo urekebisheMODS REKEBISHENI HAPO JUU ISOMEKE WALIMU WA SEREKALI [mention]mods [/mention]
Ualimu wa level Gan.....Kuna lectures and tuitour
Umechunguza shule za Japan, hazipo?habarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
bajabir ni muajiriwa wa just fit sio mmiliki[emoji23]Nenda Tweeter uko kuna walimu wanamaduka mlimani City sembuse harrier
HV harrie matako ya njani Ni gar nayo mzee HV unajuwa magar kwelihabarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Mkuu tangu umeanza kuwagonga umepatamo nini kwenye hayo mashimo?Waacheni walimu... Ndio maana wanawagongea wake zenu na mama zenu mkiwatuma kuwaona watoto wenu na matokeo yao...
Mkuu ukishajua kama hayo magari wanayo ama hawana utawanunulia?habarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Unaonekana unatoka familia ya kimasikini sana.habarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....