Hivi kuna mwalimu anamiliki Harrier new model kweli?

Hivi kuna mwalimu anamiliki Harrier new model kweli?

EBU TUPAZE SAUTI WIZARA YA ELIMU ILIPE MADAI YA WALIMU, MFANO PESA ZA LIKIZO UHAMISHO N.K.
Pesa za likizo uhamisho siku iz wanalipafasta sana. Kuna halmashauri zinajitahidi japo nyingine wanasuasua. Walimu wanahitwji kuthaminiwa Kwa kuongeza mushahara yao na pili wapewe posho aseee unaweza Kuta mwalimu anakaa shuleni Hadi saa 2 usiku tena Kwa amri ya DEO au DED lakini halipwi overtime hata mia na walimu wameshazoea
 
Pesa za likizo uhamisho siku iz wanalipafasta sana. Kuna halmashauri zinajitahidi japo nyingine wanasuasua. Walimu wanahitwji kuthaminiwa Kwa kuongeza mushahara yao na pili wapewe posho aseee unaweza Kuta mwalimu anakaa shuleni Hadi saa 2 usiku tena Kwa amri ya DEO au DED lakini halipwi overtime hata mia na walimu wameshazoea

Sawa ninawasikia wakilalamika, hiyo nayo ni hoja nzuri.. Kwa katibu mkuu naona walimu wa vyuo wanalalamika kuchelewe kulipwa pesa za likizo na uhamisho
 
Nenda kambangwa sekondari utakuta walimu wamepaki nje
 
Sawa ninawasikia wakilalamika, hiyo nayo ni hoja nzuri.. Kwa katibu mkuu naona walimu wa vyuo wanalalamika kuchelewe kulipwa pesa za likizo na uhamisho
Ni hoja nzuri ndio nakubaliana na ww ila zama hizi waalipa mapema hata kabla ya likizo kuanza na wanalipa kupitia account za benki japo baadhi ya idara na halmashauri zinasuasua
 
habarini wana jamvi?

(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)

Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])

Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.

Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?

kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu

View attachment 2583692


Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu

Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Unaongelea harrier hizi hizi hata 40M hazifiki au zipo zingine?

Kumbe humu ndani mnaongeleaga walimu halafu walimu hamuwajui.

Iko hivi kuna walimu wanamiliki volkswagen,bmw,vanguard,prado wapo kibao tu ,hizi gari nmezitaja zipo shuld moja na sio dar na sio za wamama.

Umasikini umekujaa unatafutia pa kujifariji,tembelea walimu wapo Mbeya,Iringa,njombe,arusha (nb hii mikoa nmetaja kwakua nmeona na walimu wake wame ni inspire na nmeona )
 
Sidhani labda wenye harakati, harrier ni 30M+ Sasa kwa mshahara wa laki 3 kwa mwezi atawezaje
Hakuna mfanyakazi wa halmashauri anaenunua gari zaidi ya 30M kwa mshahara wake.
Watu wanapata mshahara wanawekeza,pia jipe muda ujifunze nchi inavyoenda usirukie mambo.

Kuna watu wametokea kwakutunza mshahara wa beki tatu yaani ef50,anatunza na anakuja kutoboa.

Kichwa chako kisiwe mzigo ndugu,changamka
 
nyie ndo mnasababisha mods wafungie wtu ambao siyo mpwayungu


Ina maana nchi hii walimu hawasemwi ...mpwayungu kajiunga jf baada yangu

NIPO HUMU SINCE 2015 nyambufu
Upo mda wote humu na bado una akili kama kuku!
Nenda kamsaidie mkuu wako wa mkoa kuiondoa mkoa katika umasikini ndio uje ujadili mambo ya harrier new model
 
You can't be serious...!!

Mwalimu anakaa miaka 20 kazini pikipiki tu INAMSHINDA ndio ije tako la nyani ambalo ni 30M+...

UALIMU ni kazi ya watoto wa maskini ...ndio maana hata akili zao na uwezo wao ni wa kimaskini sana.

Japo UALIMU ni kazi ya mitume na manabii ila kwa sasa hivi hii kada imevamiwa mno na wahuni.

Ukiamua kuwa mwalimu basi ukubali kuipa mgongo Dunia kama walimu wa Madrasa.
Unawaongelea walimu wa wapi?
Mbona wapo wana mafuso na vipisi wengi tu,sasa harrier watashindwaje?
 
Acheni Dharau za ajabu.

Nenda shule hizi za serikali Bunge Primary,Mbuyuni Primary , Uhuru mchanganyiko primary, Dar Secondary,Benjamin Mkapa Secondary utaikuta hiyo gari walimu wanamiliki
 
Acheni Dharau za ajabu.

Nenda shule hizi za serikali Bunge Primary,Mbuyuni Primary , Uhuru mchanganyiko primary, Dar Secondary,Benjamin Mkapa Secondary utaikuta hiyo gari walimu wanamiliki
Bora hizo za mjini,ashuke tu pwani apo iwe kibaha,bagamoyo au mkuranga sio mpaka tumtajie shule,atembelee shule yoyote ya mjini akajionee.

Walimu wamejenga mpaka apartment wanapangisha na watu wanalipa kwa dola .anaongelea harrier
 
Bora hizo za mjini,ashuke tu pwani apo iwe kibaha,bagamoyo au mkuranga sio mpaka tumtajie shule,atembelee shule yoyote ya mjini akajionee.

Walimu wamejenga mpaka apartment wanapangisha na watu wanalipa kwa dola .anaongelea harrier
Mwaka 2017 jamaa yangu ni mwalimu wa shule ya msingi mkoani aliagiza Toyota Hiace ya 1TR engine kutoka Japan.
 
View attachment 2583704
View attachment 2583705
New modal ya harrier ni hiyo hapo hata wafanyabiashara wanaomiliki ni wachache sana
1280px-Toyota_HARRIER_HYBRID_Z_Leather_Package__(6AA-AXUH80-ANXSB(S))_interior.jpg
 
habarini wana jamvi?

(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)

Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])

Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.

Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?

kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu

View attachment 2583692


Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu

Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Unaendesha Harrier ya mwaka 2008 unasema ni new model,huko duniani ni garbage car
 
Bila kuwa MC wa sherehe ni ngumu kutoboa. 🤣🤣🤣

Walimu waliojiongeza kushika MIC kila jioni hao hufanikiwa kuwa na maisha matamu sana.
 
Back
Top Bottom