mpk nikauulizie nataka nizione mashuleni
Hazipo
mpk nikauulizie nataka nizione mashuleni
You can't be serious...!!
Mwalimu anakaa miaka 20 kazini pikipiki tu INAMSHINDA ndio ije tako la nyani ambalo ni 30M+...
UALIMU ni kazi ya watoto wa maskini ...ndio maana hata akili zao na uwezo wao ni wa kimaskini sana.
Japo UALIMU ni kazi ya mitume na manabii ila kwa sasa hivi hii kada imevamiwa mno na wahuni.
Ukiamua kuwa mwalimu basi ukubali kuipa mgongo Dunia kama walimu wa Madrasa.
Umekariri maisha sana mkuu..habarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
hata akipewa bure kuitunza hawezhabarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Bongo haipo hii,View attachment 2583706
View attachment 2583707
New modal ya kluger hiyo hapo ya 2021 bongo nzima unahesabu hata wanunuzi wa dhahabu hawana hiyo kitu
We jamaa umerudi tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh sasa kwanini wanalipwa laki 3
90M+ mkuu, Kuna mama alikua anatoa ushuhuda kanisani akasema amenunua kwa Bei hio (nimeongea kwa sauti ya Chini)Sidhani labda wenye harakati, harrier ni 30M+ Sasa kwa mshahara wa laki 3 kwa mwezi atawezaje
Akiahabarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Akiwa nayo shemeji yako inatosha.habarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....
Kumbe walimu ndio wanafanyaga hivyo umesema kweli ?Waacheni walimu... Ndio maana wanawagongea wake zenu na mama zenu mkiwatuma kuwaona watoto wenu na matokeo yao...
Mkuu una ubia na wauzaji wa harrier mbona kama unalazimisha zionekane mashuleni.."nataka"mpk nikauulizie nataka nizione mashuleni
EBU TUPAZE SAUTI WIZARA YA ELIMU ILIPE MADAI YA WALIMU, MFANO PESA ZA LIKIZO UHAMISHO N.K.habarini wana jamvi?
(Hili swali haliwahusu walimu wa kike wenye chura)
Sasa hivi harrier zipo kama nchungu barabarani, Utaziona benki, utaziona hospital ofisi za serekeli, ila mbna sijaona zikiwa zimepaki shule (ila na kwenye vituo vya polisi pia ni nadra[emoji23])
Nitangulize samahani kwa ambao nitawakwaza, ila nina swali ndugu.
Hivi kuna mwalimu anamiliki harrier matter call ya nyani?
kwasababu nina miaka 5 kwenye ualimu sijashuhudia kwa wenzangu na baadhi ya shule nilizotembelea
hata wengi wao wakistaafu hujenga nyumba za wapangaji tu
View attachment 2583692
Ualimu ni baraka,Tuuenzi na kuuheshimu
Wale waropokaji wa kutetea tetea bila hoja za kichwa na miguu huu uzi hauwahusu piteni hivi.....