SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Ukilitazama neno MAADILI kwa kiingereza linatafsirika kama 'ethics' au 'morals'...kwa wenye kujua kiingereza vizuri mnaweza kunisaidia kueleza kinagaubaga nini maana ya morals or ethics.. na wale wajuzi wa kiswahili mtaniambia..Ila kwa tafsiri yangu yangu ya kichina..nadhani inamaanisha mambo ambayo kimsingi jamii imekubaliana kwa pamoja kwamba yakifanyika yanaleta mwonekano mwema kwenye jamii..na hii inaweza kuhusisha namna ya kuvaa, kusalimiana..kufarijiana misibani nakadhalika.................
Mada iliyoko mezani ni hii..Katika pita pita zangu za kimaisha hapa juzi kati nilibahatika kupanda daladala na ndani ya daladala kulikuwa na watu wa marika tofauti kuanzia wanafunzi na watu wazima wenye umri wa karibu miaka hamsini. Sasa basi mule ndani ya gari nilipaa na siti but kwa mbele yangu kulikuwa na watoto wa shule wawili wakike nadhani ni wa sekondari umri wa kati 15 na 16.walikuwa wamesimama huku wamebanwa na watu wazima...Sasa kwa kuwahurumia wale wadogo nikawaita na kuwaomba wakae kwenye siti yangu kwa kubebana..Of course kama nilivyosema kulikuwa na watu wazima wamesimama but my sense of humour fell on those poor small girls...
Sasa wakati mie nimesimama nikasikia siti za nyuma watu wakilalamika kuwa 'Maadili ya Mtanzania yameshuka kwamba nawezaje kuwaachia wanafunzi wakae ilhali kulikuwa na watu wazima wamesimama'..Niliupenda mjadala lakini kwa kuwa nilishukia jirani sikujua uliishaje..Baadaye nikiwa zangu njiani nikaanza kujiuliza maswali..Hivi ni kweli kuna kitu kama maadili ya Mtanzania?..na kama yapo hivi yanafundishwa wapi??..Binafsi kwa kuishi kwangu..mara nyingi katika kufanya maamuzi ya mambo yanayonikabili natumiaga busara ya dini yangu na ikizidi kabisa basi nitaconsult wazee wa kabila letu au zaidi nayatafakari tu kwa upeo wangu mwenyewe na kufanya maamuzi..lakini ever sijawahi kujua yapi ni maadili ya Mtanzania..kiasi kwamba naweza kusimama na kujitambulisha nayo...
Probably kama kuna mtu anayajua haya yanayoitwa..'Maadili ya Mtanzania'..hebu ajaribu kunielewesha basi!!..Manake kila kukicha tunalalamika watoto wa siku hizi hawana maadili..hivi ni kweli zamani yalikuwepo?? na ni kweli kwamba hayo ya zamani ndiyo yanamtambulisha Mtanzania??....lol!
Mada iliyoko mezani ni hii..Katika pita pita zangu za kimaisha hapa juzi kati nilibahatika kupanda daladala na ndani ya daladala kulikuwa na watu wa marika tofauti kuanzia wanafunzi na watu wazima wenye umri wa karibu miaka hamsini. Sasa basi mule ndani ya gari nilipaa na siti but kwa mbele yangu kulikuwa na watoto wa shule wawili wakike nadhani ni wa sekondari umri wa kati 15 na 16.walikuwa wamesimama huku wamebanwa na watu wazima...Sasa kwa kuwahurumia wale wadogo nikawaita na kuwaomba wakae kwenye siti yangu kwa kubebana..Of course kama nilivyosema kulikuwa na watu wazima wamesimama but my sense of humour fell on those poor small girls...
Sasa wakati mie nimesimama nikasikia siti za nyuma watu wakilalamika kuwa 'Maadili ya Mtanzania yameshuka kwamba nawezaje kuwaachia wanafunzi wakae ilhali kulikuwa na watu wazima wamesimama'..Niliupenda mjadala lakini kwa kuwa nilishukia jirani sikujua uliishaje..Baadaye nikiwa zangu njiani nikaanza kujiuliza maswali..Hivi ni kweli kuna kitu kama maadili ya Mtanzania?..na kama yapo hivi yanafundishwa wapi??..Binafsi kwa kuishi kwangu..mara nyingi katika kufanya maamuzi ya mambo yanayonikabili natumiaga busara ya dini yangu na ikizidi kabisa basi nitaconsult wazee wa kabila letu au zaidi nayatafakari tu kwa upeo wangu mwenyewe na kufanya maamuzi..lakini ever sijawahi kujua yapi ni maadili ya Mtanzania..kiasi kwamba naweza kusimama na kujitambulisha nayo...
Probably kama kuna mtu anayajua haya yanayoitwa..'Maadili ya Mtanzania'..hebu ajaribu kunielewesha basi!!..Manake kila kukicha tunalalamika watoto wa siku hizi hawana maadili..hivi ni kweli zamani yalikuwepo?? na ni kweli kwamba hayo ya zamani ndiyo yanamtambulisha Mtanzania??....lol!