Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Ndugu zangu,
Kama mjuavyo siku hizi tatizo la ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo vya kati na vyuo vikuu limekua kubwa sana. Ila kinachonishangaza, tunaambiwa kwamba soko la ajira lina ushindani mkubwa lakini nilichogundua hivi karibuni bila kumjua mtu ata kama uwe na uwezo kiasi gani huwezi kuajiriwa labda itokee kama ajali.
Kinachonishangaza zaidi hadi taasisi za dini zinaubaguzi katika ajira. Kina jamaa yangu amemaliza versity SIO chuo tu yaan kamaliza UDSM na ana GPA ya 4.3 lakini cha ajabu mpaka muda huu naandika huu uzi yupo anafanya kazi za nyumbani kwao kama kukata kuni, kutumwa huku na kule; kununua vocha nk. Lakini kina rafiki yangu mmoja...mama take anafanya kazi taasisi moja hivi ya dini( sitaki kuhitaja kuepusha udini) yule dada hata kabla ya kumaliza chuo nafasi yake ilikuwa wazi. Yaani walikuwa wanampigia hadi simu unamaliza Lin? Aisee this is not fair kwa kweli.
Mbaya zaidi, dini zinatufundisha usawa kwa watu wote. Cha ajabu hata waumini wasiojua watu hawapewi hizo nafasi ukiachilia mbali wa-mataifa.
Siku hizi bila connection hupati kitu. Viongozi wa taasisi za dini badilikeni!!!
ASANTENI
Kama mjuavyo siku hizi tatizo la ajira hasa kwa wahitimu wa vyuo vya kati na vyuo vikuu limekua kubwa sana. Ila kinachonishangaza, tunaambiwa kwamba soko la ajira lina ushindani mkubwa lakini nilichogundua hivi karibuni bila kumjua mtu ata kama uwe na uwezo kiasi gani huwezi kuajiriwa labda itokee kama ajali.
Kinachonishangaza zaidi hadi taasisi za dini zinaubaguzi katika ajira. Kina jamaa yangu amemaliza versity SIO chuo tu yaan kamaliza UDSM na ana GPA ya 4.3 lakini cha ajabu mpaka muda huu naandika huu uzi yupo anafanya kazi za nyumbani kwao kama kukata kuni, kutumwa huku na kule; kununua vocha nk. Lakini kina rafiki yangu mmoja...mama take anafanya kazi taasisi moja hivi ya dini( sitaki kuhitaja kuepusha udini) yule dada hata kabla ya kumaliza chuo nafasi yake ilikuwa wazi. Yaani walikuwa wanampigia hadi simu unamaliza Lin? Aisee this is not fair kwa kweli.
Mbaya zaidi, dini zinatufundisha usawa kwa watu wote. Cha ajabu hata waumini wasiojua watu hawapewi hizo nafasi ukiachilia mbali wa-mataifa.
Siku hizi bila connection hupati kitu. Viongozi wa taasisi za dini badilikeni!!!
ASANTENI