jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Wakuu, Tumesikia na kuona live ama kupitia vyombo vya habari kuwa wanaokaa mabondeni wanatakiwa kuondoka kwa hiari au kwa mabavu, hii ni kutokana na athari za mafuriko yaliyotokea hivi karibuni, je kukaa bondeni ni kosa kisheria hata watanzania hawa masikini watishiwe kufurushwa? naomba mchango wako.