Hivi kukaa bondeni ni kosa?

Mkuu kwa hiyo ukishaambiwa kuwa sheria ipo ndo utaondoka bondeni?
Mimi nadhani, ni wajibu wa serikali kuchukua hatua madhubuti regardless kuwa sheria ipo au haipo ikionekana kuwa kuendelea kukaa bondeni kutaathiri raia wake. Ni wajibu wa serikali kutoa security kwa raia wake inapobidi hata nguvu ya dola yaweza kutumika.

iselamagazi, najua unatumia akili kufikiri, ongeza umakini katika kuitumia hiyo akili utuambie nini sababu ya kuwa na sheria! jadili mfano niliotoa kwenye post yangu iliyotangulia, nakuuliza na magari yapigwe marufuku kwa hali yake ya kuwa tayari kutuangusha na kutuua kwenye ajali? kwa madai yako kuchukua pre-emptive steps to minimize casualities if not deaths!!!!!
 
nielewe mkuu! Magari ni utaratibu wake kubeba watu! Na huko kwa akina Mengi kujaa maji inatokana na furry of nature,kama vile elnino,sunami n.k,lakini maeneo waliopo sio hatarishi kama mabonde ya jangwani,mto msimbazi,bonde la mkwajuni n.k hakukuwa na nyumba kule! Wala mipango miji hawakuwagawia hao watu ardhi hiyo! Wamekwenda kwa shida ya ardhi ya kukaa karibu na town! Ndn hapo tunaposhindwa kwenda sawa! Kuwa pale ni kuhatarisha maisha yao kwa makusudi kabisa mkuu. Nawahi bar!

ryder, asante kwa ufafanuzi, natambua kuwa hatari haipo mabondeni tu kwa maana ya maisha na mazingiza, mipango miji hawajawahi katika historia ninayoifahamu, kupima viwanja maeneo salama na kuwagawia wananchi, sehemu zote labda ukiondoa majengo ya serikali wananchi wamejitwalia na kuyathaminisha kwa makazi yao na watoto wao. swala la usalama ni jukumu si tu la taasisi za serikali bali ni watanzania wote kwa pamoja pia mmojammoja, ikiwa tutaikimbia ardhi ifurikayo once in a decade, wahaiti wafanyeje na nchi yao ikumbwayo na vimbunga vya kutisha, matetemeko na tufani mara kwa mara? hivi unaweza kujadili jambo hili pamoja na wajapani kabla hawajakulinganisha akili yako na ya nyani ambaye mpaka kesho hana nyumba kwa kutoweza kuyadhibiti mazingira yake kama unavyoshauri njia za kuyashughulikia maeneo ya bondeni!!!!!!!!
nilidhani utashauri shirika la nyumba liwape kipaumbele walioko karibu na kingo za mto msimbazi kwenye nyumba zao zinazotarajiwa kujengwa magomeni "kota" kwa usalama zaidi, in the mean time walazimike kuwa na life jackets kwa kila aishiye mazingira hatarishi kwa mafuriko.
 
ryder, asante kwa ufafanuzi, natambua kuwa hatari haipo mabondeni tu kwa maana ya maisha na mazingiza, mipango miji hawajawahi katika historia ninayoifahamu, kupima viwanja maeneo salama na kuwagawia wananchi, sehemu zote labda ukiondoa majengo ya serikali wananchi wamejitwalia na kuyathaminisha kwa makazi yao na watoto wao. swala la usalama ni jukumu si tu la taasisi za serikali bali ni watanzania wote kwa pamoja pia mmojammoja, ikiwa tutaikimbia ardhi ifurikayo once in a decade, wahaiti wafanyeje na nchi yao ikumbwayo na vimbunga vya kutisha, matetemeko na tufani mara kwa mara? hivi unaweza kujadili jambo hili pamoja na wajapani kabla hawajakulinganisha akili yako na ya nyani ambaye mpaka kesho hana nyumba kwa kutoweza kuyadhibiti mazingira yake kama unavyoshauri njia za kuyashughulikia maeneo ya bondeni!!!!!!!!
nilidhani utashauri shirika la nyumba liwape kipaumbele walioko karibu na kingo za mto msimbazi kwenye nyumba zao zinazotarajiwa kujengwa magomeni "kota" kwa usalama zaidi, in the mean time walazimike kuwa na life jackets kwa kila aishiye mazingira hatarishi kwa mafuriko.

teh teh teh! Kwi kwi kwi! Lol, yani hadi katoto kakizaliwa bondeni kanabamba"life jacket" faaaste! Mh makubwa! Muda mwingine serikali mnaionea! Ngoja nimalizie glas yangu! Nawahi bar!
 
teh teh teh! Kwi kwi kwi! Lol, yani hadi katoto kakizaliwa bondeni kanabamba"life jacket" faaaste! Mh makubwa! Muda mwingine serikali mnaionea! Ngoja nimalizie glas yangu! Nawahi bar!

hatujaionea serikali hata kidogo, bali serikali ndiyo inatudhalilisha. sina maana hizo life jacket itanunua serikali ambayo imeshindwa hata kuwapatia wasio na nuru ya macho fimbo nyeupe za kuwaongozea na kurahisisha kuwatambua, hizi life jacket watalazimishwa kwa sheria ndogo kununua wao wenyewe kwa ajili yao na familia zao. weka facts hakuna kichekesho hapa mkuu!!!
 
Wataalam wa mipango miji na sheria za ardhi mpo? tupe somo.

Kwa kuongezea, kila kaya yenye kijana mwenye umri wa kati ya miaka 18 na 25 atalazimika kuhudhuria mafunzo ya uzamiaji na uokozi nadharia na vitendo ili kujiweka kwenye nafasi nzuri kitaalam pindi likitokea janga la mafuriko eneo husika na maeneo mengine mfanowe, after all kama serikali itaamua kujivua uwajibikaji wa mambo ya dharura sehemu hizo. kama gvt ina bandari ya nchi kavu, ifikirie kuwa na boti ya kama si za uokoaji kwenye maeneo husika kwa kuwashirikisha wakazi wa maeneo husika, kikosi cha uokoaji kiwe na access ya kuzitumia helikopter za serikali pindi zikihitajika, hii itaziondolea sifa mbaya helicopter za polisi eti zina uwezo wa kusport na kukamata mitambo ya pombe ya gongo tu!!!!!!!!! Changia ufahamu wako juu ya hili nasi tufaidike mkuu.
 
Kwa kuongezea, kila kaya yenye kijana mwenye umri wa kati ya miaka 18 na 25 atalazimika kuhudhuria mafunzo ya uzamiaji na uokozi nadharia na vitendo ili kujiweka kwenye nafasi nzuri kitaalam pindi likitokea janga la mafuriko eneo husika na maeneo mengine mfanowe, after all kama serikali itaamua kujivua uwajibikaji wa mambo ya dharura sehemu hizo. kama gvt ina bandari ya nchi kavu, ifikirie kuwa na boti ya kama si za uokoaji kwenye maeneo husika kwa kuwashirikisha wakazi wa maeneo husika, kikosi cha uokoaji kiwe na access ya kuzitumia helikopter za serikali pindi zikihitajika, hii itaziondolea sifa mbaya helicopter za polisi eti zina uwezo wa kusport na kukamata mitambo ya pombe ya gongo tu!!!!!!!!! Changia ufahamu wako juu ya hili nasi tufaidike mkuu.
kwenye blue
huo ni mtazamo wako ndg
 
Neno sahihi la kutumia ni "kukaa" au "kuishi"? Wataalam wa lugha wasaidie maana na mimi nilikuwa napenda kuuliza au kusema unakaa wapi nikaambiwa neno sahihi la kutumia ni unaishi wapi..
 
Neno sahihi la kutumia ni "kukaa" au "kuishi"? Wataalam wa lugha wasaidie maana na mimi nilikuwa napenda kuuliza au kusema unakaa wapi nikaambiwa neno sahihi la kutumia ni unaishi wapi..

Mkuu ninapoishi na kukaa pana mwinuko sawa sawa na ule wa magogoni nina maana kutoka usawa wa bahari. sema lako la mtimani.
 
Back
Top Bottom