Sijui vyeti vya diploma vikoje kuhusu diploma classification-je wanaweka your GPA au inakuwa kwenye transcript? Unahitaji kuwa na andiko linalo onyesha kuwa vigezo unavyo. Mimi ninge-apply kama cheti hakionyeshi GPA basi ningewaambia GPA yangu ni ngapi. Meanwhile ningetafuta hiyo transcript kuweka mambo sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.