Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
Nyani ngabu umemaliza yote mkuu, hiyo picha imeamsha hisia zote, ngoja nijikongoje sanaa taratiiibu nikapate ya kuchoma na safari moto.
Haaaaa haa haaaaa Mwenzio tayari nimeweka order ya kilo moja baada tu ya kuona picha hapo juu, sasa naelekea utakuta nishabugia chupa tatu za safari lager
Picha inatamanisha sana mkuu, wasio kula hii mboga ni sawa na mwanaume asiye dindisha lol
Umbea tena, umelewa nini?