J JURGE WALYOBA Member May 14, 2014 51 8 May 23, 2014 #1 Niliwah kuuliza kuhusiana na ili swali kua hv kipofo anaota nikajibu anaota lakin ni AUDIO ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
Niliwah kuuliza kuhusiana na ili swali kua hv kipofo anaota nikajibu anaota lakin ni AUDIO ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!
HP1 JF-Expert Member Feb 4, 2012 3,362 874 May 23, 2014 #2 Anaota. Kama alipofuka ukubwani anaweza kuota anaviona vitu kwa uhalisia. Kama alizaliwa kipofu, au alipofuka utotoni sana ataota hali ya upofu, mfano ameshika white can au helping hand
Anaota. Kama alipofuka ukubwani anaweza kuota anaviona vitu kwa uhalisia. Kama alizaliwa kipofu, au alipofuka utotoni sana ataota hali ya upofu, mfano ameshika white can au helping hand
B bcsolution JF-Expert Member Jun 7, 2013 394 176 May 24, 2014 #3 JURGE WALYOBA said: Niliwah kuuliza kuhusiana na ili swali kua hv kipofo anaota nikajibu anaota lakin ni AUDIO ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! Click to expand... Usikufuru... hujafa hujaumbika ...ungeuliza tu swali ..hakuna haja ya kucheka...
JURGE WALYOBA said: Niliwah kuuliza kuhusiana na ili swali kua hv kipofo anaota nikajibu anaota lakin ni AUDIO ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha! Click to expand... Usikufuru... hujafa hujaumbika ...ungeuliza tu swali ..hakuna haja ya kucheka...
Bahimba JF-Expert Member May 8, 2013 510 346 May 25, 2014 #5 Anaota lakini katika hali ya kiuhalisia zaidi.