Hivi kipindi cha corona asingekua jiwe hali ingekuaje?

Hivi kipindi cha corona asingekua jiwe hali ingekuaje?

Kwani Tanzania ni mitaa yako tu?
wacha ubishi wewe vifo vya Corona bongo havikuwepo kama ilivyokuwa inaaminishwa na baadhi ya watu!, wengine ilifika hatua wanasema ati wamekufa watu mia tano mara mia mbili tz hii wafe watu kitini namna hiyo tusijue.. ule ugonjwa kuna watu waliuvagaa tu kwa taarifa zisizo za kweli.
 
wacha ubishi wewe vifo vya Corona bongo havikuwepo kama ilivyokuwa inaaminishwa na baadhi ya watu!, wengine ilifika hatua wanasema ati wamekufa watu mia tano mara mia mbili tz hii wafe watu kitini namna hiyo tusijue.. ule ugonjwa kuna watu waliuvagaa tu kwa taarifa zisizo za kweli.
Nakubaliana na wewe ,ila uzuri mmoja kipindi hicho nilikua kwenye sekta ya afya nafahamu kwa undani wake
 
Nakubaliana na wewe ,ila uzuri mmoja kipindi hicho nilikua kwenye sekta ya afya nafahamu kwa undani wake
Na mi niliielewa serikali ya wakati huo iliamua ikae kimya na isitoe takwimu ili isikae inabishana hovyo kufuata mkumbo wa baadhi ya watu na nia zao!.
kuna muda hawa wapinzani wapimwe kwa mizani stahiki naona hata vyama vya upinzani vimeshavamiwa na mamluki ya watu wa hovyo!. wengine hukaza fuvu tu kujifanya hawaelewi.
 
Back
Top Bottom