Grand Master Dulla
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 411
- 146
Wale wazigua ndo mi walinizingua hadi nikawachukia akina Kinana! Fikiria tangia meli iwabwage wakiwa watumwa kwenye rasi ya pembe ya afrika hadi wamerudi zaidi ya karne moja bado walikuwa wanaongea kizigua. Maana yake akina Bashe hawakuwapokea wala kuwaruhusu kuoa au kuolewa na wao na hivyo hata kisomali wakaambulia patupu! Jamani TZ safi maana hao ndo tunawapa uwaziri wa ulinzi na majeshi hapa kwetu kwao lalalalala!!!! Haya yangu macho.
sio wewe tu hata mimi mapenzi yangu kwao yalikwisha baada ya kusikia visa vya hao wazigua,mana walikuwa wanadhalilishwa balaa,walikuwa wanaitwa abidi,yaani watumwa kha!! toka miaka hiyo hadi leo status yao ni hiyo hiyo,
hawakuruhusiwa hata kuoa mabinti wa kisomali wala kupata kazi,wala kupata ujumbe wa nymba kumi,wala ubalozi,yaani walikuwa wanaitwa takataka,lakini embu angalia kwetu wasomali wnavyoenjoy hadi serikalini,sa sijui sisi tuna matatizo gani,sijui TUMELAANIWA!!?? yaani nashindwa hata cha kuongea,sehemu pekee salama kwa mwafrika ni Afrika,sasa iweje na sisi tunawaachia hawa wageni wanatutawala wakati hapa ni kwetu?? ilitakiwa wao wakija huku waonje shubiri kama sisi tunavyoonja tukienda kwao,kwani si huwa tunatumikishwa sisi na kudharauliwa.