dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,831
- 20,345
Na queen ni nani sikuhizi[emoji848]?mkuu usimpe sifa zisizo zake...
twende mbele tuludi nyuma ambwene ndo king of gosper tz
Nimemuona kwa tv siku mbili hivi ndani ya wiki hii pale upendo tv akihojiwa, naona wanataka jina lake lirudi.. [emoji91]Sante Clouds kwa kunisikia,
Mmempa Airtime leo na Sunday Shangwe,,
Wanasema Ni Angwe!!Hv ni wa Tanga, Dom au Moro,??
Kwa upande wangu shushoNa queen ni nani sikuhizi[emoji848]?
Ndio mkuuWee ndo Pusher wake nn
Haha hiyo n according to you maana tuna mitazamo tofauti,best singer Ni Ambwene MwasongweNi the Best Gospel Singer Ever,,
Siunakubali hili au una shaka nalo
Nakubali sanamkuu usimpe sifa zisizo zake...
twende mbele tuludi nyuma ambwene ndo king of gosper tz
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ngada haijawahi kumuacha mtu salama.
Ambwene ni kichwa kingine kabisaNakubali sana