Hivi Kikwete anaweza nini?

Hivi ni kitu gani serikali ya Kikwete inaweza? maana hata kulipa watu mishahara kwa wakati muhafaka ni tatizo! na ukiangalia vizuri unakuta zile wizara na taasisi zilizopewa hawa ndugu zetu... mtandao cum vibarakashia cum wakwe ndo zinavurunda shoto kulia! hii sio siri ila kama kuweka usawa wajameni kati ya hawa ndg zetu kuna wale wenye uwezo yaani wanaoweza kupewa uongozi wa wizara au taasisi au jeshi on merits na waka-deliver na sio jinsi hali ilivyo sasa! Hii inakera mbona wakina Shivji hawapewi hizo taasisi nyeti wakaziendesha au ndo kujipaka matope kwenyewe kwa kupitia mgongo wa udini kwamba HATUWEZI! Tuwe wakweli jamani kwenye uvundo na kuvurundwa kwa serikali ya sasa kuna vijielementi vya watu kupewa vyeo without merits kuanzia chama, kuja serikali, jeshi mpaka taasisi! Tuondelee tu kuangalia cinema!

NB: Simchukii mtu miye ni Muislam safi niliyeelimika mweye uchungu na nchi yangu!
Men can climb to the highest summits; but it's only God that can dwell there. George Benard Show.
 
kwa nchi ye2 hajafanikiwa kuwa na uwezo wowote. labda ku2letea shida kama kulipa dowanz
 
Mnamowonea mkwere bure. Yeye alisema kasi zaidi, nguvu zaidi, ari zaidi mkakubali wenyewe wakati mlisahau kumuuliza hizo zaidi ni za kwenda nyuma au mbele?

Kwa hiyo yeye ndo anawajibu sasa, zaidi hizo ni za kwenda nyuma.
 
Kikwete ni Bingwa wa kuzindua vitu. Iwe kaburi la first Lady, choo cha kwanza kijiji flani, kisima cha kwanza tangu Uhuru, kupiga picha na wasanii mali mbali na kutembeza bakuli Europe, China na USA. Hataki shida Mkwere kwa nini aumize kichwa kwa ajili ya TZ? hana mda yeye ni kutalii tu. Rais bomu sana huyu.
 
Hivi ni kitu gani serikali ya Kikwete inaweza? maana hata kulipa watu mishahara kwa wakati muhafaka ni tatizo! na ukiangalia vizuri unakuta zile wizara na taasisi zilizopewa hawa ndugu zetu... mtandao cum vibarakashia cum wakwe ndo zinavurunda shoto kulia! hii sio siri ila kama kuweka usawa wajameni kati ya hawa ndg zetu kuna wale wenye uwezo yaani wanaoweza kupewa uongozi wa wizara au taasisi au jeshi on merits na waka-deliver na sio jinsi hali ilivyo sasa! Hii inakera mbona wakina Shivji hawapewi hizo taasisi nyeti wakaziendesha au ndo kujipaka matope kwenyewe kwa kupitia mgongo wa udini kwamba HATUWEZI! Tuwe wakweli jamani kwenye uvundo na kuvurundwa kwa serikali ya sasa kuna vijielementi vya watu kupewa vyeo without merits kuanzia chama, kuja serikali, jeshi mpaka taasisi! Tuondelee tu kuangalia cinema!

NB: Simchukii mtu miye ni Muislam safi niliyeelimika mweye uchungu na nchi yangu!

Halafu unajiita GREAT THINKER ni kundi la wajinga fulani, udhaifu wa mtu katika uongozi hautokani na dini yake, jaribu kuleta mada ya kweli ambayo haini uozo wa kidini, Nchii hii haina maendeleo siku nyingi na sababu sio watu na dini zao, sababu ni kutokuwa na uchungu wa nchi na kufuata maadili ya uongozi bora, mze kambarage alisema, tunayo ardhi, siasa safi, watu lakini uongozi mbovu. nawewe ukiwa kiongozi utakuwa mbovu kupita kiasi maana utafikiria haya unayosema leo. KWELI WEWE NI GEZA ULOLE, NA UTALOLA
 
labda uchaguzi wa maaskofu huko kanisani kwenu.

Jamani, rais ameshachaguliwa na maaskofu pia wamepatikana. Rais alichakachuliwa, sina uhakika na maaskofu, cha maana wakereketwa tujipange kwa ajili ya 2015, tuhakikishe uchakachuaji wa kura unadhibitiwa na tunaweka madarakani viongozi watakaojali maslahi ya wananchi wa TZ, na kuhakikisha rasilimali (zilizo bwelele) zinatumika kwa manufaa ya wa TZ.
 
Hivi ni kitu gani serikali ya Kikwete inaweza? maana hata kulipa watu mishahara kwa wakati muhafaka ni tatizo! na ukiangalia vizuri unakuta zile wizara na taasisi zilizopewa hawa ndugu zetu... mtandao cum vibarakashia cum wakwe ndo zinavurunda shoto kulia! hii sio siri ila kama kuweka usawa wajameni kati ya hawa ndg zetu kuna wale wenye uwezo yaani wanaoweza kupewa uongozi wa wizara au taasisi au jeshi on merits na waka-deliver na sio jinsi hali ilivyo sasa! Hii inakera mbona wakina Shivji hawapewi hizo taasisi nyeti wakaziendesha au ndo kujipaka matope kwenyewe kwa kupitia mgongo wa udini kwamba HATUWEZI! Tuwe wakweli jamani kwenye uvundo na kuvurundwa kwa serikali ya sasa kuna vijielementi vya watu kupewa vyeo without merits kuanzia chama, kuja serikali, jeshi mpaka taasisi! Tuondelee tu kuangalia cinema!

NB: Simchukii mtu miye ni Muislam safi niliyeelimika mweye uchungu na nchi yangu!
Anaweza kutafuta mademu mtaani
 
jamani, rais ameshachaguliwa na maaskofu pia wamepatikana. Rais alichakachuliwa, sina uhakika na maaskofu, cha maana wakereketwa tujipange kwa ajili ya 2015, tuhakikishe uchakachuaji wa kura unadhibitiwa na tunaweka madarakani viongozi watakaojali maslahi ya wananchi wa tz, na kuhakikisha rasilimali (zilizo bwelele) zinatumika kwa manufaa ya wa tz.

unashangaza sana,unapongojea nyumba ianguke ujenge mpya badala ya kuziba ufa tu ambao ni tishio kwa nyumba.kama majaribio si tulisha fanya 2005 na majibu tayariiiiiiiiiiiii!!!!!!!! Nini cha kungojea nyumba ituangukie ??????????? "katiba mpya kwanza kisha out"
 
anaweza mengi ila anakosa kitu kimoja hana maamuzi na uhuru wa mawazo kama asingewekwa katikati na mafisadi sasa hawezi kuchomoka ni ndoa hiyo jamani tuombe tu 2015 ifike haraka ila kazi tunayo tusipobadilika kimwenendo na mitazamo wananchi tutakoma tutafute pesa sana la sivyo ipo siku wale KCC mtashindwa kwenda ma ofisini heri yetu sie kijijini hapa usafiri ni mguu wako tu kazi kwenu nasikia wengine mnakaa mbweni mnafanyia kazi posta mpya (city Centre) sijui

Mngekuwa wafuasi wangu tungefika mbali
 
Back
Top Bottom