Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Nadhani haumwi bali AMECHAKAA tu. Hata mimi huwa najiuliza sana.
unakuwa na maswali kumbe majibu unayo mwenyewe.uwo msitari wa kwanza ndo jibu la swali unalojiuliza.kilaza we!
Nadhani haumwi bali AMECHAKAA tu. Hata mimi huwa najiuliza sana.
hzo ni shida tuu wala haumwi akipata ubunge atang'aa.
mbona steven wasira anafanana na sokwe na ni waziri?
kwani ameshawahi anguka kama yule mzeee wa kifafa!We wacha umbeya kama anaumwa si hospitari zipo, watampeleka akatibiwe, lakini yeye yuko fiti maana hajalalamika!!!!!!!! Hiyo gear imefeli pole!!!!!
Shule za kata at work!
mbona steven wasira anafanana na sokwe na ni waziri?
Inawezekana chakula anapata kidogo sana hata mimi nimemuona, unashindia karanga na maji, lazima afya itakuwa mgogoro
Shule za kata at work!
kila Kampeni zinavyoendelea ndio afya yake inazidi kuzorota tokea kuanza kwa kampeni, je kashindye anaumwa au nl mawazo? wana CHADEMAMA mtujuze.
hjghjghjkila kampeni zinavyoendelea ndio afya yake inazidi kuzorota tokea kuanza kwa kampeni, je kashindye anaumwa au nl mawazo? Wana chademama mtujuze..
Kazi anayofanya kwa sasa ni ngumu, kutwa kuuza sera za chama chake hapati muda wa kupumzika. Nakumbuka hata JK kipindi kile alichoka na kuchakaa sana wakati wa kampeni hadi "akaanguka" jukwaani.
kila Kampeni zinavyoendelea ndio afya yake inazidi kuzorota tokea kuanza kwa kampeni, je kashindye anaumwa au nl mawazo? wana CHADEMAMA mtujuze.
kila Kampeni zinavyoendelea ndio afya yake inazidi kuzorota tokea kuanza kwa kampeni, je kashindye anaumwa au nl mawazo? wana CHADEMAMA mtujuze.
Shule za kata at work!