Nimekuwa nikifuatilia kwa mbali sana na kuona ni jinsi gani siku za karibuni USD haitakuwa tena reserve currency ya duniani. Kuna mipango mkakati wa iliyonyuma ya IMF kufanya SDRs (Special Drawing Right) kuwa ndio reservce currency ya dunia. Sasa nguvu kubwa ya Marekani imetokea mojawapo kwa kuwa ni reserve currency ya dunia wanuwezo wa kuchapisha tu fedha nawaziadhirike kiuchumi na ndio maana wameweza kuwa na deni la $Trilion 9 na bado hawanyumbishi. Ila baadhi ya global elite wanataka kubadilisha hili na mwaka huu kabla ya July 1 inasemekana wanataka full operations ya SDR na DLT kuwa full fledge kitu ambacho kinaweza kuitetemesha uchumi wa dunia kama tunavyoujua sasa . Na vilevile inaweza kuleta the big Giant kunyumba ambayo itasababisha nchi nyiningine kunyumba kidogo. Kwa habari za kina kuhusu hili tembelea link hizi Special Drawing Right (SDR)
https://cointelegraph.com/news/imf-...s-on-regulating-distributed-ledger-technology
Najiuliza kama nchi tunachukua hatua gani kukabiliana na haya mabadiliko ili yasitukute off guard yaana wakati reserve yetu ni kwenye dollar itabidi tuipunguze maana kunauwezekano mkubwa kuwa USD itashuka sana dhamani. Pili tutafute wataalamu wa mambo haya yote ya crypocurrency na technologia ambazo zinatishia kubadilisha mambo na vilevile tuone kama tunaweza kuwa na sheria na taratibu za kuziembrace mapema kwa manufaa ya nchi yetu.
Nawakilisha
https://cointelegraph.com/news/imf-...s-on-regulating-distributed-ledger-technology
Najiuliza kama nchi tunachukua hatua gani kukabiliana na haya mabadiliko ili yasitukute off guard yaana wakati reserve yetu ni kwenye dollar itabidi tuipunguze maana kunauwezekano mkubwa kuwa USD itashuka sana dhamani. Pili tutafute wataalamu wa mambo haya yote ya crypocurrency na technologia ambazo zinatishia kubadilisha mambo na vilevile tuone kama tunaweza kuwa na sheria na taratibu za kuziembrace mapema kwa manufaa ya nchi yetu.
Nawakilisha