Hivi Kagera kuna nini wadau?

Hivi Kagera kuna nini wadau?

Charles_nicholaus

Senior Member
Joined
Nov 13, 2025
Posts
149
Reaction score
259
Tukianza na vita vya Tanzania na Uganda, ajari za meli kama MV Bukoba, ajali ya ndege pamoja na matetemeko ya ardhi "HIVI KAGERA KUNANINI?"
 
Ndugu yetu sijui yupo salama ningejua ninge chukuaga namba zake..

Tulikua washikaji sanaa sio KAWAIDA kabisa kabisa
Ni kosa ambalo najutia mpaka kesho kutochukua namba ila shida nilikuwa mwanaye sana ila harakati zake hapa jamvini nilimhisi ni mtu tunaejuana naye sana maana kuna mambo alikuwa akisema kuhusu mimi ni mulemule, nikawa nawaza kama ni yule ninayemuhisi sikutaka basi ajiridhishe ni mimi ni hapo hata namba sikuchukua ila itoshe kusema nilikosea sana sijui yu wapi mwamba ila kama yupo salama litakuwa jambo jema sana
 
Ni kosa ambalo najutia mpaka kesho kutochukua namba ila shida nilikuwa mwanaye sana ila harakati zake hapa jamvini nilimhisi ni mtu tunaejuana naye sana maana kuna mambo alikuwa akisema kuhusu mimi ni mulemule, nikawa nawaza kama ni yule ninayemuhisi sikutaka basi ajiridhishe ni mimi ni hapo hata namba sikuchukua ila itoshe kusema nilikosea sana sijui yu wapi mwamba ila kama yupo salama litakuwa jambo jema sana
Mimi tuli elewana sababu ya DAMUnina Bloodline ya kichaga kutoka kwa mama..

So inanitokeaga baadhi ya watu tunakua wa shikaji kama tulijuanaga zamani..

Kuhusu namba Huwa mpaka nijiridhishe sana ndipo hutoa namba zangu kwa mtu wa humu wapo wachache sana wenye namba zangu
 
Back
Top Bottom