Hivi Jay Moe Yuko Wapi?

No namfollow MKE wa PFunk, Kajala si alikuwa Suria na mwenzie Munira. Mke wa Pfunk anaitwa Katrinaalegra. Ana matusiiii huyooooo. Balaaaa.
Oh nlikua sijaelewa nlijua unamfollow mkewe wa zamani huyo Katrina naye 10K followers bado tabu tu kukupata
 
naishi na karibu anakaa mtaa wa pili tu hapo mbele tena ni nyumba yake mwenyewe alijenga
 
Muda mwingi yupo Netherlands kwa shemeji yake aliymeoa Dada yake. Jamaa anajua sana
 
Mo technics... dah. ndo hvyo wasanii wetu wanashindwa kudumu ktk ubora wao. Itakuwa ni sembe tu
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Hivi huyu mtu yuko wapi, sukari ya warembo enzi hizo mziki haujabinafsishwa na Dimond na Ali Kiba. Daaaaahhh! Kitambo sanaaaa. Juma Mchopanga uko wapi, shabiki wako numero uno nimekumisi sanaaa. Flow yako ilikuwa baaaab kubwaaa.

Hawa watoto wanaweza wasielewe wewe nani kwenye fani, ila mimi mtu mzima mwenzio nakuelewa mpaka kesho. Wewe na mtu chee Juma Nature, Juma Kassim Kiroboto, na producer wetu P Funky Majaniiii. Namfollow mkewe Insta, mama la mama Kajala alibwaga manyanga.

THEM GOOD OLD DAYS
Kama Unataka Dem,I Was So Young Nikawa Nadhani Lile Tangazo La Channel 5 Ndo Video Yake.
 
Daah huyu ndo tupac wa bongo kwangu,,,,team Wateule#team kipara#style ya milele### Bado yuko vile vile vile#nayaka demu#Stori 3#famous mpaka ikulu Kwa ancooo##!!
 
Back
Top Bottom