JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,559
Sidhani mkuu. Sio rahisi. Nakumbuka mstari wake.."amani kwa kaka Voda waambie wadogo wako waache poda wale mmea"salute sana, anayekubishia akasikilize ngoma inayoitwa STORI 3 KWA 1, "wakwanza ni ahmed, wengi walimwita medi/, mwite eddy kama unamhusudu na yeye ndo anavyohusudu,.......... mariam alikuwa ni mtoto aliyekuwa aliyekua na uzuri wa peke/, mm mwenyewe mmoja wapo kati ya waliotaka wajiweke/ ili anione mchumba wake,....... intro (INO alikuwa mtu ambaye usingeweza kudhani kwamba atakuja kutumia madawa ya kulevya....).japo siamini tetesi za jamaa kula sembe ila kama ni kwl mchopanga anakula ngada, basi atakua alijitabiria mwenyewe kwenye hyo verse ya INO,