Travibela
Member
- Mar 10, 2016
- 76
- 58
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Hivi huyu mtu yuko wapi, sukari ya warembo enzi hizo mziki haujabinafsishwa na Dimond na Ali Kiba. Daaaaahhh! Kitambo sanaaaa. Juma Mchopanga uko wapi, shabiki wako numero uno nimekumisi sanaaa. Flow yako ilikuwa baaaab kubwaaa.
Hawa watoto wanaweza wasielewe wewe nani kwenye fani, ila mimi mtu mzima mwenzio nakuelewa mpaka kesho. Wewe na mtu chee Juma Nature, Juma Kassim Kiroboto, na producer wetu P Funky Majaniiii. Namfollow mkewe Insta, mama la mama Kajala alibwaga manyanga.
THEM GOOD OLD DAYS
Jumanne Mohammed Mchopanga. Naishi naye jirani, Sinza hapa mitaa ya California. Ni mshikaji kinoma, hana makuu.
Kama upo Dar na ungependa kupiga nae story au kupata ka-dinner hivi pamoja, just holla me and I will hook you up with him. Yes I mean it.