Hivi jamani kukaa kimya kwa viongozi wa UKAWA katika siasa wanatutendea haki?

Kikiwo

JF-Expert Member
Nov 30, 2017
1,967
1,046
Mimi ninavyojua walivyoambiwa siasa za kitaifa wamwachie mku wa nchi nilielewa kwamba majimboni kwa mbunge moja moja haina tatizo. Sasa mbona hatuwaoni kwenye magazeti wakihimiza mambo mbalimbali kwa wananchi majimboni mwao? Kwa mfano sisi wa Kibamba jimbo la John Mnyika ndo hata tumeshasahau kama ni mbunge wetu.

Musitususie majimbo njoo mutwambie munafanya nini na mipango ya kufikia 2020 ni nini. Au munasemaji wana JF?
 
Msiwe na wasiwasi Rais yupo atakuja kuwasikiliza yeye ni kila kitu akiagiza maji yaletwe ni siku moja tu mabomba yanatandazwa.
 
Mimi navyojua walivyoambiwa siasa za kitaifa wamwachie mku wa nchi nilielewa kwamba majimboni kwa mbunge moja moja haina tatizo. Sasa mbona hatuwaoni kwenye magazeti wakihimiza mambo mbalimbali kwa wananchi majimboni mwao? Kwa mfano sisi wa kibamba jimbo la John Mnyika ndo hata tumeshasahau kama ni mbunge wetu.

Musitususie majimbo njoo mutwambie munafanya nini na mipango ya kufikia 2020 ni nini. Au munasemaji wana JF?
Wanatii Mamlaka iliyopo, siasa zipo tu kwa sasa wanasoma ramani ili wajue cha kufanya. Maana cocha wa timu mpinzani wao amekuja na formation ambayo kuipenya inataka mahesabu, vinginevyo ukiingia kichwakichwa ndiyo mambo ya uchaguzi wa madiwani 1/42
 
Nadhani na wao wanamuunga mkono kiongozi. Ni suala la muda tu na nani atatangulia na nani atafuata .
 
Mimi ninavyojua walivyoambiwa siasa za kitaifa wamwachie mku wa nchi nilielewa kwamba majimboni kwa mbunge moja moja haina tatizo. Sasa mbona hatuwaoni kwenye magazeti wakihimiza mambo mbalimbali kwa wananchi majimboni mwao? Kwa mfano sisi wa Kibamba jimbo la John Mnyika ndo hata tumeshasahau kama ni mbunge wetu.

Musitususie majimbo njoo mutwambie munafanya nini na mipango ya kufikia 2020 ni nini. Au munasemaji wana JF?
Umetumwa wewe sio bure
 
Back
Top Bottom