Kwa mtu mwenye consistence check katika habari za ITV kuanzia taarifa ya saa mbili jumapili usiku waliikaushia taarifa ya TISS kuhusishwa na kuwawinda kimauwaji viongozi wa chadema.leo jumatatu asubuhi ndo kilikuwa kichekesho cha mwaka usomwaji wa vichwa vya magazeti kikawaida huwa wanaanza na nipashe lakini cha ajabu msomaji alianza na uhuru akamalizia na magazeti ya kiingereza na akayaacha nipashe,tanzania daima na mwananchi lakini kilichoniacha hoi katika habari za nyuma za michezo alisoma hayo magazetiya nipashe,mwananchi na tanzania daima.sasa nachojiuliza ITV nayo ishanunuliwa na mafisadi au Mengi ndio kunguru mwoga kakimbiza bawa lake?