Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 152
CDM ikitawala tutaoa kila demu umtakaye
Tuwe tuna-akili kidogo watanzania.
umeona eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.
Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu. Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa jamaa.
wallahi nchi hii itakuwa roman, wasiokuwa wakiristo watakoma, bora tu tubaki na ccm.
Mkuu, Hicho ndiyo ninachoshindwa kuelewa...yaani yeyote anayechangia akiikosoa(kuisahihisha Serikali) eti ni CHADEMA? Afterall kuna ubaya wakiwa CHADEMA??
Hawa wapuuzi wawe wanafikirisha na akili zao.
Huna lolote we mchoma makanisa. Ibilisi mkubwa we.umeona eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.
Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu. Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa jamaa.
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
umeona
eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.
Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu.
Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa
jamaa.
Kweli wewe baiskeli
bora hata ungekuwa tractor tunge kutumia kulima! Ukiona mtu ana penda
kujificha kwenye miamvuli ya dini ni dhaifu sana!
Kwako wewe naomba nisikuulize umri! Nyie ndio mnaleta migogoro
nchini.
Mkuu hatuhitaji change tuu, we need POSITIVE change! CHADEMA ni ethnic na divisive party. Hakuna lolote kwenye chadema linaloashiria NEEMA, zaidi ya makabila fulani au group fulani kupata upper hand!hatuendelei kwa sababu ya wajinga katika nchi... na mtu yeyote ambae hayupo kwa ajiri ya mabadiliko ni mjinga kwa taafsiri rahisi...nadhani tz kuendeleea bado sana...na ujinga wa watu hata waliomo jf daaaa ni miaka mingi....
CHUKUA CHAKO MAPEMA(ccm).