Hivi Itakuwaje CHADEMA ikichukua Nchi?

Hivi Itakuwaje CHADEMA ikichukua Nchi?

Shinto

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
1,781
Reaction score
98
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.

Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.

Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
  1. Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
  2. Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
  3. Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
 
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.

Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.

Tumekuteua kwenda kuwapa NISHANI ya uongozi uliotukuka BI SHYROSE BANJI na BI SOFY MWANA WA SIMBA.








Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
  1. Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
  2. Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
  3. Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?

Tumekuteua kwenda kuwapa NISHANI ya uongozi uliotukuka BI SHYROSE BANJI na BI SOFY MWANA WA SIMBA.
 
wale wote wanaotoa comment humu ni wanachadema? Umejuaje? Hii mada yako haina ukweli wowote. Sijaona popote ambapo chadema imekejeli dini yoyote au kudharau yeyote.
 
Chadema kuchukua utawala wa nchi ni Nooooooo jiulize mko wangapi!!!wenye ndoto za vitoto vichanga
 
Ngoja CDM ikichukua nchi uone itakuwaje. Maana ni mapema kusema kwa vile wote ni wanasiasa.
 
Tutakuwa na Tanzania kwa watanzania wote bila kujali dini, kabila, rangi, jinsia wala umri. Keki ya Taifa itakuwa ni kwa ajili ya watanzania wote. Mafisadi wote watakamatwa na kufilisiwa mali zao zote bila huruma. Tutapata Elimu bure, matibabu ya hospitali bure, Viongozi wetu hawatakwenda nje ya nchi kupata matibabu kama ilivyo sasa, viongozi wetu watatumia magari ya bei nafuu, mikataba ya uwekezaji itaangaliwa upya na kama kuna kasoro itavunjwa mara moja kwa faida ya watanzania na Tanzania. Vifaa vya ujenzi vitashuka sana bei, huduma nyingi za jamii zitaboreshwa na kuwa nzuri sana. Jeshi la polisi litavunjwa na kuundwa upya.
 
I like that kila mtu anaamini sasa hivi Chadema inachukua nchi
 
Serikali yeyote iliyopo madarakani inaongozwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi.
Na tafsiri ya CHADEMA ni (Chama cha Demokrasia na Maendeleo).
So nchi ikiongozwa kwa kufuata demokrasia kama tafsiri ya CHADEMA inavyoonyesha nadhani hamna haja ya kuwa na mashaka yeyote juu ya uhuru wa wananchi.

Na Demokrasia katika utawala uliopo ndio jambo lilokosekana kabisa.
 
wapendwa,
nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu jf yana-impact decision making kwenye system.

Juzi , nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, jf ikiwa mojawapo.

Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa chadema ukifuatilia comments za watu humu jf ( ambao wengi wao ni pro-cdm).
Sasa chukulia cdm imeshinda uchaguzi (god forbid!):
  1. hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
  2. wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu jf watasalimika kwenye utawala wa chadema?
  3. sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa chadema wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?

huna cha kufanya wewe......endelea kunywa kahawa na kuchoma makanisa tuone km itakusaidia
 
wapendwa,
nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu jf yana-impact decision making kwenye system.

Juzi , nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, jf ikiwa mojawapo.

Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa chadema ukifuatilia comments za watu humu jf ( ambao wengi wao ni pro-cdm).
Sasa chukulia cdm imeshinda uchaguzi (god forbid!):
  1. hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
  2. wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu jf watasalimika kwenye utawala wa chadema?
  3. sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa chadema wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
umeona eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.
Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu. Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa jamaa.
 
Siasa za bongo bana. Hizi posti za uchochezi mods inatakiwa wazipeleke kwenye dustbin
 
umeona eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.

Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu. Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa jamaa....


Senior Member Array


Join Date : 5th November 2007

Posts : 216

Rep Power : 603

Likes Received22
Likes Given4



nilitegemea tofauti na hicho ulichoandika hapo juu mkuu.
 
kama wananchi watakipa fursa basi watakuwa wameona kinafaa. labda ungeuliza Chadema wangeipindua serikali na kushika dola je, hali ingekuwaje? swali zuri zaidi ni sababu zipi zitawafanya wananchi waamue kukipa utawala chadema?
 
Back
Top Bottom