Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Eti wakuu hivi itakuaje siku Ukifa na kwenda mbinguni ukute ile hela yako uliyokuwa unatoa sadaka kanisani/msikitini au kwa watu wasiojiweza umetunziwa na ndio pesa yako ya matumizi?
Vipi kwako itatosha kutumia kwa muda gani?
Mimi kwangu nafikiri itatosha breakfast tu ya wiki moja.
Ngoja nianze kwenda kutoa sadaka sasa kwa future yangu.
Cc Zero IQ
Vipi kwako itatosha kutumia kwa muda gani?
Mimi kwangu nafikiri itatosha breakfast tu ya wiki moja.
Ngoja nianze kwenda kutoa sadaka sasa kwa future yangu.
Cc Zero IQ