Uko mitaa gani na unajishughulisha na nini? Tujue ili usitupotezee muda.Habari wakuu hivi ipo siku Tanzania na viunga vyake tutatembea usiku wa manane iwe kwa shida au raha bila kukutana na vibaka/tatu mzuka
Bongo kupo salama sanaHabari wakuu hivi ipo siku Tanzania na viunga vyake tutatembea usiku wa manane iwe kwa shida au raha bila kukutana na vibaka/tatu mzuka?
Bongo ipi ipo salama wakati tunasikia watu wanatekwa kila kukicha hiyo Unga limited ya Chuga unaijua mazee hapo Jozi unapopazungumzia ni wapi mbona Edenville na viunga vyake tunasota muda wowote tu hata Bedford view na Centurion watu wanasota tu muda wowote.Bongo kupo salama sana
Sehemu kama jozi, jobergy, Johannesburg kuanzia saa tano usiku makundi ya vibaka ni mengi kuliko raia wema
ukitembea umbali kama kutoka kkoo shimoni mpaka jangwani hakuna namna unaweza kutoboa ukiwa na simu yako pesa raba kali airpods na vitu vyovyote vyenye thamani pia kujeruhiwa au kufa kabisa
Bongo ipi ipo salama wakati tunasikia watu wanatekwa kila kukicha hiyo Unga limited ya Chuga unaijua mazee hapo Jozi unapopazungumzia ni wapi mbona Edenville na viunga vyake tunasota muda wowote tu hata Bedford view na Centurion watu wanasota tu muda wowote.
Johannesburg kiwango cha crime kipo juu sana ila vijana wengi wanakaa huko huko kwa wanakokaba unategemea nini..
Sidhani kama mtoa mada ameongelea kisiasaBongo ipi ipo salama wakati tunasikia watu wanatekwa kila kukicha hiyo Unga limited ya Chuga unaijua mazee hapo Jozi unapopazungumzia ni wapi mbona Edenville na viunga vyake tunasota muda wowote tu hata Bedford view na Centurion watu wanasota tu muda wowote.
Johannesburg kiwango cha crime kipo juu sana ila vijana wengi wanakaa huko huko kwa wanakokaba unategemea nini..
Habari wakuu hivi ipo siku Tanzania na viunga vyake tutatembea usiku wa manane iwe kwa shida au raha bila kukutana na vibaka/tatu mzuka?
Mbona watu tunatembea bila shida yoyote, au unazungumzia tanzania ipi?Habari wakuu hivi ipo siku Tanzania na viunga vyake tutatembea usiku wa manane iwe kwa shida au raha bila kukutana na vibaka/tatu mzuka?
Miaka mitatu nyuma vibaka wengi walikua wanavamia nyumba na kuiba TV maeneo ya Iwambi huku wenyeji wakijua kuwa wanaibiwa pana siku shangazi yangu aliibiwa TV mbili ndani ya mwezi mmoja aliponiambia nikaenda kufunga 55" nilipotoka SA harafu tukaweka mtego wa kulala kwenye majani haikuchukua hata wiki moja wale wahuni walirudi kutaka kuchukua ile TV maana hata milango haikufungwa sana ili wasisumbuke kuvunja walipoingia ndani tu tukaibuka wote na tupo na mizigo walikua vibaka 15 tulichowafanya pale kama walikuja kutembea itakua ni bahati yao mpaka kesho wanalala salama salmini na hii ni Iwambi ya Mbeya ukitaka nikupe matukio ya Arusha yapo mengi tu mkuu..Sidhani kama mtoa mada ameongelea kisiasa
Nadhani ameongelea vibaka na si watekaji
Mitaa kama Sinza,Unga ltd sehemu nyingi usalama. Ni mgogoMbona tunatembea usiku kucha bila shida.
Uko wapi huko?
Nadhani Mkuu Arusha unaisikia tuu kwenye Bomba huku kuna matukio mpaka mengine yanatishaMiaka mitatu nyuma vibaka wengi walikua wanavamia nyumba na kuiba TV maeneo ya Iwambi huku wenyeji wakijua kuwa wanaibiwa pana siku shangazi yangu aliibiwa TV mbili ndani ya mwezi mmoja aliponiambia nikaenda kufunga 55" nilipotoka SA harafu tukaweka mtego wa kulala kwenye majani haikuchukua hata wiki moja wale wahuni walirudi kutaka kuchukua ile TV maana hata milango haikufungwa sana ili wasisumbuke kuvunja walipoingia ndani tu tukaibuka wote na tupo na mizigo walikua vibaka 15 tulichowafanya pale kama walikuja kutembea itakua ni bahati yao mpaka kesho wanalala salama salmini na hii ni Iwambi ya Mbeya ukitaka nikupe matukio ya Arusha yapo mengi tu mkuu..
Makazi ya kudumu yapo Arusha naisikiaje kwenye bomba mkuu.Mitaa kama Sinza,Unga ltd sehemu nyingi usalama. Ni mgogo
Nadhani Mkuu Arusha unaisikia tuu kwenye Bomba huku kuna matukio mpaka mengine yanatisha
Kwa hiyo na kazi na maeneo ya kutembea ni hapo hapo PPF..Huenda Labda unakaa PPF