HALCYON311
Member
- Aug 23, 2014
- 27
- 20
nzi,mende,mmbu,sisimizi nikiwaona naskia hasiraaaaaaaa
wanajua nachowafanyaga tena nnzi ndo nikiwadaka wananikomaga.
nzi,mende,mmbu,sisimizi nikiwaona naskia hasiraaaaaaaa
wanajua nachowafanyaga tena nnzi ndo nikiwadaka wananikomaga.
Itakua hua unawachukua nzi unawaweka ndani ya mfuko wa barafu,unadumbukiza na dushe kwny mfuko huo then wale nzi walioko ndani ya ule mfuko wana act kama catalyst.
Ni swali fikirishi hili.Jamaa kauliza swali zuri saana lakini majibu ya hovyo kabisa
Acha k***nya polini kiongoziKwa nini ukikata gogo sehemu ambayo hamna nzi ila ukimaliza tu, wanakuja kwa wingi?
Jamaa kauliza swali zuri saana lakini majibu ya hovyo kabisa