Hivi inawezekani crane kujibeba juu?

Hivi inawezekani crane kujibeba juu?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,008
Reaction score
28,342
Poleni na kinachondelea.
Hivi crane kama hizi fuso ambazo zinakuwa na mkonga wa kubeba vitu kujipakia kama zile zinazobeba nguzo (shirika la umeme tanesco)yaani ule mkonga ushushe ile huku yake iingizwe pale tukakokanyaga wakati wa kupanda/kudandia alafu ndo unyanyue sasa je?inawezekana?
 
Haiwezekani, mobile crane ya kwenye truck (Fuso) hiyo body ya gari ndio inakuwa kama counterweight
 
Swali lako sijalielewa vizuri LAKINI kwa kifupi JIBU lake ni HAPANA
Kwasababu; gari pengine la tani 10 lina kuwa na Crane ya kunyanyua pengine kilo 600. Sasa huo uzito ni mdogo sana ukilinganisha na gari lenyewe......
Na hata gari lingekuwa na uwezo wa kubeba tani 30, pengine craine yake itaweza kunyanyua tani 2 bado ni uzito mdogo sana
 
Haya maswali ndio yanayosababisha wavuta bange waonekane hawana maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom