Hivi inakuaje mwanaume una watoto watatu unatafuta mke wa kuoa?

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
26,953
49,705
Kijana upo 35 hadi 40 una watoto 3 au 2, mama tofauti bado unatafuta mke wa kuoa, halafu kwenye thread za kuponda masingle maza wewe upo, hutaki single maza, hao wadada wa watu uliowazalisha unataka nani awaoe unavyohamasisha wenzio wasiwaoe? Ila jua hata kama ukioa bikra aliezaliwa leo dhambi ya kuzalisha wengine itakutesa mpaka ukome.

Halafu wanawake inabidi tuamke, mwanaume akikuzalisha hata kama una uwezo usikubali kulea mwenyewe hata kama hutaki mawasiliano nae nenda polisi ustawi wa jamii wapo anapewa kiwango cha kupeleka kila mwezi wewe unafata tu pale wala huna haja ya kuonana nae. Hichi kiburi cha kuwaacha wasitoe hela kisa tunawachukia ndo kinawafanya waendelee kutuzalisha hovyo.
 
kijana upo 35 hadi 40 una watoto 3 au 2 mama tofauti bado unatafuta mke wa kuoa! halafu kwenye thread za kuponda masingle maza wewe upo .hutaki single maza.hao wadada wa watu uliowazalisha unataka nani awaoe unavohamasisha wenzio wasiwaoe? ila jua hata kama ukioa bikra aliezaliwa leo dhambi ya kuzalisha wengine itakutesa mpaka ukome.
halafu wanawake inabidi tuamke mwanaume akikuzalisha hata kama una uwezo usikubali kulea mwenyewe hata kama hutaki mawasiliano nae nenda polisi ustawi wa jamii wapo anapewa kiwango cha kupeleka kila mwezi wewe unafata tu pale wala huna haja ya kuonana nae.hichi kiburi cha kuwaacha wasitoe hela kisa tunawachukia ndo kinawafanya waendelee kutuzalisha ovyo!

mbona unakuwa km bosi wa timu ya kukodi km masufuria...?
 
Hii inahuzunisha kwa kweli. Wapo wengine kwenye umri huo ndoa zimevurugika. Cha msingi, uanaume si kuzaa na kutelekeza. Hapo ni kuvipa shida vizazi vyako.
Kukorofishana wazazi, si kukorofishana mzazi na mtoto.
Kwangu mimi, mwanamke ni yoyote. Awe na mtoto au hana. Amezaa, hajazaa au hatazaa.
 
Hii inahuzunisha kwa kweli. Wapo wengine kwenye umri huo ndoa zimevurugika. Cha msingi, uanaume si kuzaa na kutelekeza. Hapo ni kuvipa shida vizazi vyako.
Kukorofishana wazazi, si kukorofishana mzazi na mtoto.
Kwangu mimi, mwanamke ni yoyote. Awe na mtoto au hana. Amezaa, hajazaa au hatazaa.
wapo waliooa kabisa na kuacha .hao wanaeleweka nazungumzia wale wazaaji tu mkuu!
 
tukienda iwe mahakamani au ustawi wa jamii natoa corruption tu then midomo yao nakuwa nimeifunga halafu mwanaume nipo my kid alelewe na stepfather au ukweni kwa mwanamke itakuwa uchizi uo.
 
Ila dada unataka kuteka attention yangu ujue nikujue zaidi.

Kwa upande mwingine, Mtu akifuatilia nyuzi zako atajifunza kitu flani ambacho nadhani kinaweza kuathiri matakwa yako ya kupata mwenzi.
 
Ila dada unataka kuteka attention yangu ujue nikujue zaidi.

Kwa upande mwingine, Mtu akifuatilia nyuzi zako atajifunza kitu flani ambacho nadhani kinaweza kuathiri matakwa yako ya kupata mwenzi.
Mie nadhani yupo vizuri. Ni kwamba yamemkuta. Nyuzi gani si nzuri?
 
kijana upo 35 hadi 40 una watoto 3 au 2 mama tofauti bado unatafuta mke wa kuoa! halafu kwenye thread za kuponda masingle maza wewe upo .hutaki single maza.hao wadada wa watu uliowazalisha unataka nani awaoe unavohamasisha wenzio wasiwaoe? ila jua hata kama ukioa bikra aliezaliwa leo dhambi ya kuzalisha wengine itakutesa mpaka ukome.
halafu wanawake inabidi tuamke mwanaume akikuzalisha hata kama una uwezo usikubali kulea mwenyewe hata kama hutaki mawasiliano nae nenda polisi ustawi wa jamii wapo anapewa kiwango cha kupeleka kila mwezi wewe unafata tu pale wala huna haja ya kuonana nae.hichi kiburi cha kuwaacha wasitoe hela kisa tunawachukia ndo kinawafanya waendelee kutuzalisha ovyo!
HAPO UMEANGALIA UPANDE MMOJA TU WA SHILINGI. NAMNA GANI KAMA NI MWANAMKE NDIYO KAMUACHA MUME WAKE??? KUNA WANAWAKE KWA SABABU YA TIMBWILI LAO, WANAUME WAMEAMUA KUWAACHA NYUMBANI NA KWENDA KUPANGA! SEMA TU WANAUME WANAJIZUIA KULALAMIKA KAMA WANAWAKE LA SIVYO KESI ZAO NDIYO ZINGEKUWA NYINGI KULIKO ZA WANAWAKE!!!
 
Kijana upo 35 hadi 40 una watoto 3 au 2 mama tofauti bado unatafuta mke wa kuoa! halafu kwenye thread za kuponda masingle maza wewe upo .hutaki single maza.hao wadada wa watu uliowazalisha unataka nani awaoe unavohamasisha wenzio wasiwaoe? ila jua hata kama ukioa bikra aliezaliwa leo dhambi ya kuzalisha wengine itakutesa mpaka ukome.

halafu wanawake inabidi tuamke mwanaume akikuzalisha hata kama una uwezo usikubali kulea mwenyewe hata kama hutaki mawasiliano nae nenda polisi ustawi wa jamii wapo anapewa kiwango cha kupeleka kila mwezi wewe unafata tu pale wala huna haja ya kuonana nae. Hichi kiburi cha kuwaacha wasitoe hela kisa tunawachukia ndo kinawafanya waendelee kutuzalisha ovyo!
HIYO KWELI IMEKAA NDIVYO SIVYO!
 
Mie nadhani yupo vizuri. Ni kwamba yamemkuta. Nyuzi gani si nzuri?
Hakuna nyuzi ambayo si nzuri, ila ukizichunguza kiundani utagundua vitu viwili ndani yake.

Utagundua hitaji lake na pia utagundua mtazamo wake hasi kuhusu wanaume.
 
Ila dada unataka kuteka attention yangu ujue nikujue zaidi.

Kwa upande mwingine, Mtu akifuatilia nyuzi zako atajifunza kitu flani ambacho nadhani kinaweza kuathiri matakwa yako ya kupata mwenzi.
ukweli huwa unauma sana
 
HAPO UMEANGALIA UPANDE MMOJA TU WA SHILINGI. NAMNA GANI KAMA NI MWANAMKE NDIYO KAMUACHA MUME WAKE??? KUNA WANAWAKE KWA SABABU YA TIMBWILI LAO, WANAUME WAMEAMUA KUWAACHA NYUMBANI NA KWENDA KUPANGA! SEMA TU WANAUME WANAJIZUIA KULALAMIKA KAMA WANAWAKE LA SIVYO KESI ZAO NDIYO ZINGEKUWA NYINGI KULIKO ZA WANAWAKE!!!
sijasema wanawake ni malaika mkuu .mpaka unaachwa na wanawake watatu ambao ushazaa nao hata ndoa hukufunga nao unaona upo sawa kweli
 
tukienda iwe mahakamani au ustawi wa jamii natoa corruption tu then midomo yao nakuwa nimeifunga halafu mwanaume nipo my kid alelewe na stepfather au ukweni kwa mwanamke itakuwa uchizi uo.
mpo hivo hata hamstuki una watoto lukuki bado unaendelea kuzaa
 
Hakuna nyuzi ambayo si nzuri, ila ukizichunguza kiundani utagundua vitu viwili ndani yake.

Utagundua hitaji lake na pia utagundua mtazamo wake hasi kuhusu wanaume.
Ni kweli anahitaji mwenzi wake na si jambo baya. Lakini anachukua tafadhali. Mie sijamzoe tu, ningemsemesha.
 
Back
Top Bottom